jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,320
Nimeona akipigiwa promotion na muwakilishi wa imf kana kwamba uchumi wetu umekua kwa 6.5 hadi 7.5, amejinasibu kupewa ushauri na mu-IMF huyo kuhusu utajiri wetu wa gas, ya kuwa tuweke sera, tutunge sheria n.k kuhusu gas.
Najiuliza, kwa nchi huru Tanzania, mambo haya ya wananchi, kumsikiliza mu-imf na kusahau kuwa ushauri huo ulitolewa bungeni na chadema, leo jitu zima kubwa kama vile linajisifia mbele ya mkewe eti limeshauriwa na muzungu nini cha kufanya, Nisaidieni, huyu waziri anawajibika kwa nani?
Najiuliza, kwa nchi huru Tanzania, mambo haya ya wananchi, kumsikiliza mu-imf na kusahau kuwa ushauri huo ulitolewa bungeni na chadema, leo jitu zima kubwa kama vile linajisifia mbele ya mkewe eti limeshauriwa na muzungu nini cha kufanya, Nisaidieni, huyu waziri anawajibika kwa nani?