Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
get ur facts right Rombo, Karatu na Kigoma mjini ni vitovu vya mabadiliko tangu 1992-1995 na si kwamba eti wamethubutu! ila wana uzoefu na siasa! unajua historia ya mageuzi ya CHADEMA nchini hapa au unaropoka tu!? huwezi kufananisha majimbo hayo na Same au MwangaNimepata kutembelea hizo wilaya mara kadhaa.Ni kweli ni miongoni mwa wilaya maskini kabisa hapa nchini..kuna matatizo ya maji hasa maeneo ya tambarare,na bado hizi bado ni ngome imara za CCM.Wengi wa wananchi wake wanajivunia wilaya hizo kuwahi kutoa viongozi wakuu wa kitaifa kama vile David Msuya,Peter Kisumo,Dkt Asha Rose Migiro ,Nicodemus Banduka na wengine wengi.Wanajisikia fahari sana kuwa na watu hawa,wanaona namna bora ya 'kuwaenzi' watu hawa ni kuendelea kuiunga mkono CCM.Ndugu zetu hawa wanahitaji kuhamasishwa ili wajitambue,wabadilike na waachane na CCM.Jirani zao Rombo na Vunjo wamethubutu kwa nini isiwe wao?
Kwa sababu ya umaskini wa maeneo haya,kiwango cha uhamaji 'emmigration' kipo juu na kiwango cha uhamiaji 'immigration' kipo chini.
Vile vile,maeneo mengi ya vijijini yana huduma za jamii kama vile maji na barabara na moja ya matokeo ya hali hii ni kuwa na kiwango kidogo cha umijinishaji 'urbanization' ambayo ni determinants katika mabadiliko ya kifakra,mitazamo na hulka kutokana na muingiliano wa wanajamii.
hahahahaaaaaaa thithiemu imetudhaa bana tukiichagua chadema nchi itaingia vitani,Labda uende na bakola huko, Mmmmh! ni wabishi na waelewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Bakola sawa la si hivyo thithi ni wa thithiemu na wakubwa ni thithi na wadogo ni thithi!