kanyasu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 234
- 18
ukerewe ipi unayoijua ambayo imeelezwa hapa?Mi nadhani taarifa yao hiyo iko sahihi, kwa ukerewe huo ndo ukweli wenyewe. Mbunge wao yule wa muda mrefu nadhan alichangia kudumaa kwa maendeleo! Alikuwa busy sana na mambo ya kimataifa akasahau jimbo lake.
acha kushabikia ujinga na uongo utakuja kuolewa.ukrerewe hakuna umeme?ukrerwe wanaoa wajane? acha ujinga ukerewe ipi?mimi mkerewe hakuna ujinga huu bwana