St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,635
- 4,519
Week end ndio hiyoooo inaanza, naomba basi hii avatar iache uchokozi japo kwa siku mbili hizi jamani ,ili wanaume tutulie na familia zetu.I wish you all a very good week end.
24/7 naona uko ki ISCKwa sisi ISC inatufaa sana hiyo
Ahahaaaah kama inakukwaza inabidi uikwepe kwa kutotembelea JF kwa siku mbili hizi!
Week end ndio hiyoooo inaanza, naomba basi hii avatar iache uchokozi japo kwa siku mbili hizi jamani ,ili wanaume tutulie na familia zetu.I wish you all a very good wek end.
24/7 naona uko ki ISC
Ahahaaaah kama inakukwaza inabidi uikwepe kwa kutotembelea JF kwa siku mbili hizi!
Mkuu nisipotembelea JF nitaugua presha.
Mambo vipi mkuu!usihofu na hiyo avatar,inapiga tafu sana kwa kujiliwaza!
i seeUkiwa memba wa chama tawala unafanya kampeni kuanzia kwenye shina
Wewe pia weekend njema Paka Mweusi
Mi nilidhani inanikonyeza mimi peke yangu....kumbe na nyie!...goooosh!
Mi nilidhani inanikonyeza mimi peke yangu....kumbe na nyie!...goooosh!
Hahahahahahahahahah wajina umeniamsha na kicheko leo hii ,jioni agiza chochote bili kwangu.
naona mnaklik wandugu bas ngoja niidisplay page....!!!!
mm macho yangu yana matatizo bwana yan nilikuwa bch ukooooooooooooooo na babu yenu bas katika kukuru kakaara mchanga ukaingia machon....
wknd wap ?sema bas toa venue km ni mzalendo kesho ,kwa mbowe,kwa jd,maisha?sansiro?sanaa?
mi kesho naenda kutukunyuka panapo mzalendo (usiku wa east afrika napenda swaga za ug)nkashake kila kitu vikidondoka ntaviokota bt today i hav to rest n tak time fo maself.....!!!!!
KM UKIKONYEZWA NA WEWE ASI UKONYEZE BABU AU UNA MAKENGEZA???????pole unalo ilo babu limekuganda......!!!!!!
Siyo uchokozi, ana jicho moja
Umeamka salama mama,vipi kiporo leo?Au ni mwendo wa viazi vitamu vya kukaanga?