Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 167
nimengia dar baada ya majukumu mazito niliyokuwa nayo mkoani. Nahtaji kampani, raha ya mtoko wa wikiendi muwe 2 na kuendelea. Tutafutane watu dsm.
sasa mbona umenipita hapa geti la ubungo?
Mie ndio nafungua geti.
Msaidie mwenzio....kaja na viazi huyo
jamani sio kila anayetoka mkoani anapoingia dsm anakuwa na vifurushi. Muda si mrefu ndio tumetoka hapa airport