Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Nimedokezwa apa kuwa wiki ya usalama barabarani inaanza next week!
Na waandishi wa habari wanasema wako kwenye majonzi ya kumlilia Mwangosi kwa siku 40 thus hakutakuwa na taarifa zozote zinazohusu polisi kuandikwa.
My take
Kwanza its the right timing
Am sure TBCCm wao wataendelea as if wao sio waandishi wa habari
Hofu yangu ni Arusha na Ruvuma kama walishindwa kuandamana watashindwaje kundelea kuandika habari za kipolisi kama ilivyo tamkwa na Nevil jana!
Polisi kwenu ili liwe fundisho kila mtz ana haki ya kuishi na kazi yenu ni kulinda sio kuua raia,imagine kama hawa raia wasipokuwepo mtalinda nini?
Keep in mind kuwa raia ni kama mteja kwenu treat him or her decently kama mtu ambaye amekuja kwenye duka lako kwa ajili ya mahitaji mbali mbali
Na waandishi wa habari wanasema wako kwenye majonzi ya kumlilia Mwangosi kwa siku 40 thus hakutakuwa na taarifa zozote zinazohusu polisi kuandikwa.
My take
Kwanza its the right timing
Am sure TBCCm wao wataendelea as if wao sio waandishi wa habari
Hofu yangu ni Arusha na Ruvuma kama walishindwa kuandamana watashindwaje kundelea kuandika habari za kipolisi kama ilivyo tamkwa na Nevil jana!
Polisi kwenu ili liwe fundisho kila mtz ana haki ya kuishi na kazi yenu ni kulinda sio kuua raia,imagine kama hawa raia wasipokuwepo mtalinda nini?
Keep in mind kuwa raia ni kama mteja kwenu treat him or her decently kama mtu ambaye amekuja kwenye duka lako kwa ajili ya mahitaji mbali mbali