Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,078
- 10,739
Hizi dharau zenu kwa waislamu ndizo zilizomletea laana mgombea wenu wa uraisi,amekuwa akibwabwaja mambo ambayo yamemuondoshea hadhi iliyodhaniwa kuwa ni hadhi aliyoipata bungeni.Yeye na Mrema ni sawa.makamba na wapuuzi wengine wanawatumia waislamu vibaya, wanawafanya kama watoto, wakililia Gari unmnunulia pipi analamba anasahau, anasinzia.......
Kupanda kwenye jukwaa na mke wa mtu,bei ya mfuko wa saruji na vitisho ni mifano hai ya mambo yaliyombwaga chini.
Kuhusu waislamu,kwa adhabu atakayopewa Slaa mwaka huu,baada ya uchaguzi hapana shaka watanzania watawajua waislamu ni nani, kwa vile ambavyo maamuzi yao katika kura yatakuwa yamebadili muelekeo wa waliokuwa wakiwadharau.