julius deya
New Member
- Apr 7, 2012
- 2
- 1
hello!
mwaka uliopita 2011, Africa ilipoteza mwanaharakati wa Mazingira aliepumzishwa ili aweze anza safari yake ya pili kwa namna ambayo ni ya kirafiki dhidi ya mazingira.
Prof. Wangari M. mwanamazingira toka nchin Kenya na mshindi wa tuzo ya Oscar alifariki dunia na mwili wake kuchomwa moto kisha majivu yake kuzikwa jijin Nairobi katika nchi ya Kenya.
Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa kifua mbele kutetea na kuhifadhi mazingira kwa ujmla huku akisisitiza zaidi kwenye upandaji miti.
leo chuo kikuu cha Sokoine kimeanza upandaji miti katika maeneo mbalimbali yenye uhitaji mjini Morogoro na vitongoji vyake, zoezi hilo limefuatia huku kukiwa na usitiswaji wa baadhi ya ratiba chuon hapa ili kuweza fanikisha zoezi zima la upandaji miti. Zoezi hilo linalosimamiwa na kitivo cha Misitu na uhifadhi limepata utekelezaji chanya kupitia wanafunzi wa sokoine university pamoja na staff.
Afrika tuamke, tusimamie mazingira pamoja na uhifadhi wake kwa manufaa yetu ya sasa, baadae na vizazi vitakavyofuata. sote kwa pamoja tumuenzi Prof. Wangari kwa kupanda miti.
R.I.P Prof. WANGARI M.
mwaka uliopita 2011, Africa ilipoteza mwanaharakati wa Mazingira aliepumzishwa ili aweze anza safari yake ya pili kwa namna ambayo ni ya kirafiki dhidi ya mazingira.
Prof. Wangari M. mwanamazingira toka nchin Kenya na mshindi wa tuzo ya Oscar alifariki dunia na mwili wake kuchomwa moto kisha majivu yake kuzikwa jijin Nairobi katika nchi ya Kenya.
Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa kifua mbele kutetea na kuhifadhi mazingira kwa ujmla huku akisisitiza zaidi kwenye upandaji miti.
leo chuo kikuu cha Sokoine kimeanza upandaji miti katika maeneo mbalimbali yenye uhitaji mjini Morogoro na vitongoji vyake, zoezi hilo limefuatia huku kukiwa na usitiswaji wa baadhi ya ratiba chuon hapa ili kuweza fanikisha zoezi zima la upandaji miti. Zoezi hilo linalosimamiwa na kitivo cha Misitu na uhifadhi limepata utekelezaji chanya kupitia wanafunzi wa sokoine university pamoja na staff.
Afrika tuamke, tusimamie mazingira pamoja na uhifadhi wake kwa manufaa yetu ya sasa, baadae na vizazi vitakavyofuata. sote kwa pamoja tumuenzi Prof. Wangari kwa kupanda miti.
R.I.P Prof. WANGARI M.