VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
hhahahahaahhaa....:kev:
ray:ray:ray:
hhahahahaahhaa....:kev:
mimi nitongozwe,nisitongozwe,naona sawa tu.s.times huwa naona kama ni kero fulani,nikitongozwa na mtu ambae sipo interest nae.Na kama tayari ninae mtu,huwa ndio kabisaaaaaa,sipendi kutongozwa
ngoja nikanoe kisu niazne kutongoza sasa siach mtu hadi wate mrizike
Ahahahahaaaaaah!!!ngoja nikanoe kisu niazne kutongoza sasa siach mtu hadi wate mrizike
he eeehhheheeh lol... lakini angakia usijetemewa mate au ukapigwa makofi..maana wengi wakali.
tatizo wanawake wengi hawajiamini kama ni wazuri ama la. Kipimo chao mpaka watongozwe.
Halafu hujaeleza unafurahia kutongozwa kivipi! Kipwani pwani au kibara? Sasa wale kutongoza pwani ili wakopeleke kwao wakuingize kule pwani ni balaa! We penda kutongozwa tu! Leo lazima uote unatongozwa na kupatwa kabisaaaa
asante sana wangu!!:A S-heart-2:layball:
Nazjaz, wakati mwingine uandishi ni uwakilishi wa jamii ya watu wa aina fulani, aidha kitabaka, kijinsia au hata kiimani.Kila mwanamke ameumbwa na hulka ya kuamini kuwa anasifa ya uzuri. Hivyo basi wanawake tunaamini kwamba uzuri huo unaonenaka kwa nje kupitia mivuto.
Mivuto hiyo huwavuta wanaume wengine wakusalimie, wengine wapige jicho ili mradi wajiburudishe, na wale walio na ushujaa na ujasiri huwa hawasiti kukutongoza, na hapa kila mwanaume ana gia zake za kumwingia mwanamke.
Je dada mwenzangu huwa unajisikiaje ikipita wiki nzima hujasalimiwa na wavulana wenye jicho la kukutamani, hujatongozwa na wala hujasifiwa?
Binafsi last week ndio ilikuwa wiki niliyokuwa nimekosa kabisa watu wa kunichangamkia, nkajiuliza sana je nimezeeka au nyota yangu imetembelewa na mtu (lm kidding, siamini mambo ya nyota)
Nakubaliana na wewe lakini huyu mtoa mada hii ishu yake kaitoa kinamna tofauti na wewe ulivyoielezea na ndio maana watu kama hawajamuelewa vile!!