Katuni gani, maana zipo nyingi
umeanza kuwa mkorofi nani anakufundisha au kuna mtu anakuchokoza nambie
The Secretary mi sio mgomvi ila napima wenzangu wako km mimi au wao ni dk moja mbele
iga yaliyomema kijana wangu
Hahahaa kuna wakati yasiyomema huwa yananoga sana lol
Mzima wewe
Teh teh aumh.mi mzima bora wewe umecheka vizuri wengine wanacheka kama vibonzo
Shikamoo mjr msamehe cg alikua na hangoverUmemuona 52 tu?
Hahhahahaaa makoroboi kumefanya nin jaman aah nyegezi stand kufanya nin sasa jaman kweli utoke isamilo upite mjin uende nyegez stand masihara haya jaman haya nenda ila angalia usije pitiliza buzuruga hahahahWe umetoa wazo lenye manufaa sana....thanx alot
Hahahahaaa kule nyegezi kwa "Nice meeting you" huko siendi bhana maana utabiri wa hali ya hewa unanikataza kwenda. Haya beibe nasty, hebu nisaidie kutafuta sehemu ya mjini kwa kukaa na kukutana na marafiki (kulala bado nasubiri maoni na ushauri)Hahhahahaaa makoroboi kumefanya nin jaman aah nyegezi stand kufanya nin sasa jaman kweli utoke isamilo upite mjin uende nyegez stand masihara haya jaman haya nenda ila angalia usije pitiliza buzuruga hahahah
Hahahahaaa kule nyegezi kwa "Nice meeting you" huko siendi bhana maana utabiri wa hali ya hewa unanikataza kwenda. Haya beibe nasty, hebu nisaidie kutafuta sehemu ya mjini kwa kukaa na kukutana na marafiki (kulala bado nasubiri maoni na ushauri)
Center kabisa kuna pizzeria, kuna sizzzer mida ya sambilimbilu hivi ndo panakua pazuri, kuna villa huko mbali mbali kiduchu, kuna salma cone if u wana icecream kuna sehemu nyingi tuu dear one wewe tuu so bado unataka kwenda stand tuu? Basi utakuwa unamatatizo au miad
Umemuona 52 tu?