Pliz Charminggirl my dear, do not reply to this post.
nimekusoma laadhidhi, nlifundwa nkafundika mwanamke mie. UTII KWA MUME....
duh.. hiv hamna wadada wanaokuja mwz, maana wote naona vijeba tu.!!? mi ata ckupokei lbda erick ansaidie ngoja nsubiri mgen wa kike..
Erickb52Hatukutaki huku..baki na kijicent chako huko
Erickb52
Mi namshauri aombe msaada tu......lasivyo ataishia kulala kwenye majengo ya shule!! LOL
Charminggirlme nimezuiliwa kusema chochote na mume!
Pliz Charminggirl my dear, do not reply to this post.
We msaidie tu hata kumpeleka Mihama......kwani kuna shida gani??? Si unampandisa kipanya cha Mwaloni tu na hiyo elfu tano yake....!!!