NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Wanandoa wameoana siku ya pili tu wamepelekana kwa padri...akawauliza nini tena?
MKE AKSEMA: Nilifikiri iko hivi ===========>
ama hivi =====>
kumbe hivi ==>
bora talaka,
MUME NAE KASEMA:
nilifikiri hivi ()
ama hivi ( )
kumbe hivi ( )
bora talaka ichukue nafasi yake
wewe kama padre/mchungaji ungetoa ushauri gani?
NB: wanandoa hawa hawakukutana kimwili mpaka siku ya harusi yao.
MKE AKSEMA: Nilifikiri iko hivi ===========>
ama hivi =====>
kumbe hivi ==>
bora talaka,
MUME NAE KASEMA:
nilifikiri hivi ()
ama hivi ( )
kumbe hivi ( )
bora talaka ichukue nafasi yake
wewe kama padre/mchungaji ungetoa ushauri gani?
NB: wanandoa hawa hawakukutana kimwili mpaka siku ya harusi yao.