Wigan Vs New Castle

Al Zagawi

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
2,461
1,447
Natazama hii game, mpaka sasa ni Wigan 4 na NewCastle 0....Half time

Nashangaa kitu kimoja..hivi hii inamaanisha premier league ni ligi bora kwa maana ya ushindani na kwa hivyo matokeo yasiyotarajiwa week in week out au ni ubovu wa ligi ambapo timu ya nne kutoka juu(NewCastle) inafanyiwa kitu mbaya na timu ya tano kutoka mwisho????

Kumbuka Wigan hawa ndani ya kama wiki tatu hivi wamewagonga Man U, Arsenal, Liverpool na wakafungwa na Chelsea kwa uzembe wa marefa kiasi ilibidi head of referees amuombe radhi kocha wa wigan, Martinez kwa makosa ya refa/linesmen ambayo yaliigharimu Wigan point moja(au tatu?)

Mawazo tafadhali.........
 
Back
Top Bottom