wife of today

Prof

JF-Expert Member
Feb 24, 2010
1,577
2,436
jamii imeshapoteza dira, ona yanayotokea kwenye familia zetu
 

Attachments

  • 270545_129285150492097_100002318370081_206751_1111421_n.JPG
    270545_129285150492097_100002318370081_206751_1111421_n.JPG
    51.2 KB · Views: 1,096
jamii imeshapoteza dira, ona yanayotokea kwenye familia zetu

"Tena nakwambia, acha kabisa ujinga wako huo, ukifanya mchezo mimi narudi zetu kwetu, tuone nani atakupigia" end of quote
 
husband of today nao wana matatizo sana,mtu kaacha tembele nyumbani yeye anaenda kula chips kuku bar na bia pembeni
 
Ndo hivyo labda mwanamke ndo kamuoa jamaa ndo maana kawa mbabe kiivyo
 
Sitaki presha wala kusumbuana na wabeijing, maana ukumtandika tu kofi anawahi kwa wanasheria wa kuwatetea haki wanawake. Akilianzisha tu mimi nahamishia kambi Bar, akituliza mizuka yake narudi home taratibu! hamna haja ya makelele
 
Back
Top Bottom