Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Eeh, hebu fikiria, kama ilikuwa inaibwa kwa pembeni basi tena, mmiliki wa halali basi tena, na yule mshikiliaji (sijui ni mmiliki orijino ) naye kwisha habari yake....heheeee!
upo mae? mic u sana sana, mbona kimya kingi jamani?