JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
- Thread starter
- #41
Kama umekuta msg ya kumtukana nafikiri anaonesha msimamo ila na wewe endelea kudeal na mkeo
Haya mambo ya kuambiwa na mpenzi wako kua fulani anamtaka si ya kuamini sana, mara nyingi utakuta yeye mwenyewe mkeo ndie anaemtaka jamaa ila hiyo inakua ni njia ya kuondoa kile kilichomjaa moyoni mwake kwa kusema eti jamaa anamtaka.
Nakutakia kila la heri "ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO"
poa kiongozi kwa ushauri mzuri