ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
kaka basi bora huyo demu wake si mkabaji star- jamaa yangu alifanya mbinu hiyo hiyo lakini baadaye mkewe akadunduliza hela na kuununua TV nyiingine, ikafungwa Room, sasa jamaa akaambiwa kama anataka games na mambo mengine basi watakuwa wanabadilishana either yeye chumbani na wao sebuleni - mkewe ilibidi alipie ile decoder ya kuweza kucheki double channels at the same time.
Sasa jamaa anabuni njia nyingine - maana mkewe ni kama Defender mzuri sana.
Sasa jamaa anabuni njia nyingine - maana mkewe ni kama Defender mzuri sana.