FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
- Thread starter
- #21
Kwanza pole sana kwa matatizo, mtazamo wangu ni kuwa huyo sio responsible wife/ mother, hatua ya kuwabagua watoto inabomoa familia na kujenga chuki miongoni mwa watoto, hata kama watoto ni wadogo wakilelewa ktk mazingira hayo itawaadhiri ktk makuzi yao inaweza kuwafanya watoto wakaathirika kisaikolojia, je ukiongea nae labda anatoa maelezo gani juu ya ukatili wa hawa watoto tuanzie hapa...
Ndugu story ni ndefu sana,kwa ufupi hakubali chochote ni mbishi/mgomvi balaa,kama ningekuwa ninatabia ya kupiga nadhani ningekuwa nimeua,nimekuwa najaribu kutumia technics mbalimbali maana ni muhimu kujihami asije akaleta madhara llakini sioni mwelekeo,ndo maana natafuta mtaalamu/mshauri,anishauri jinsi ya kumtoka bila kuleta madhara.