Wi-Fi ni nini?

kalendi

JF-Expert Member
Mar 17, 2012
1,327
521
1.Wakuu naomba kujua hii huduma ya Wi-Fi inafanya kazi vipi? 2. Simu yangu ni Nokia E5 je hiyo huduma inafanyakazi?
 
1.Wakuu naomba kujua hii huduma ya Wi-Fi inafanya kazi vipi? 2. Simu yangu ni Nokia E5 je hiyo huduma inafanyakazi?

WiFi ni wireless network iliyo kwenye 802.11 standard, kama ambavyo tunaweza kuunganisha computers kwa kutmumia network cable, WiFi inatumika kuunganisha simu, computers na wireless devices nyingine ili kuweza kupata huduma mbalimbali ikiwemo internet

WiFi ili kupata huduma yake ni lazime kuwe na mtoa huduma hiyo jirani kabisa na sehemu ulipo maana inaweza kuunganishwa kwenye simu au computer kwa umbali usiozidi mita 200

Watoa huduma wa WiFi ni migahawa ya internet, hotels nk

Vifaa vinavyotumika kutoa huduma ya WiFi ni wireless routers na WiFi access points

Hope nimekupa mwanga
 
Kwa ufupi WI-FI kama ipo kwenye cm yako ni huduma unayoipata free kuttoka sehemu yeyote kwenze maeneo uliyopo.
 

Wi-Fi ( [URL="http://en.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:IPA_for_English"]/
ˈwaɪfaɪ/, also spelled Wifi or WiFi) is a popular technology that allows an electronic device to exchange data [/URL]wirelessly (using radio waves) over a computer network, including high-speed Internet
Windows Vista
and Windows 7 improved Wi-Fi support over Windows XP with a better interface and a suggestion to connect to a public Wi-Fi when no other connection is available.
Kwa kifupi ni Teknolojia iliyopo sasa inayokiweszesha kifaa cha electronic kupeleka /kupokea taarifa bila kuunganisha waya au kebo kweye Laptop, kompyuta version za Vista na Window 7, Modem tunazozitumia kupitia mashirika ya simu au simu hasa BlackBerry, Android, Nokia (achana na simu za kichina) hasa wakati unapounga na Internet
Watengenezaji wameionyesha zaidi kwa rangi ya Bluu hasa kwenye Laptop au Modem huwa inablink
zaidi ya hapo ingia Wikipedia na google
 
ivi wi-fi haiwezi kukava WAN?maaana hapa tulipo tunapata y acoflani nanajua ko mbali na hapa
 
Jamani hili ni jukwaa la tekenolojia na ufundi, mtu anapo uliza swali kitekonolojia basi ajibiwe kitekonojia, mtu akiuliza swala la kiufundi basi ajibiwe kiufundi. Shukrani kwa wote wanaolewa nia na malengo la jukwaa hili. Tuko pamoja humu MaPro MaEng MaTech na wale wanopenda kujifunza tekenolojia na ufundi. Wakubwa tusiangushane wala tusiliangushe jukwaa. Naomba kuwasilisha.
 
ivi wi-fi haiwezi kukava WAN?maaana hapa tulipo tunapata y acoflani nanajua ko mbali na hapa

wlan na wifi nnavyojua ni hyo hyo.. Ndomaana watu wana i spell kama wifi ni aina ya wlan., WLAN meas WIRELESS LOCAL AREAS NETWORK
 
ivi wi-fi haiwezi kukava WAN?maaana hapa tulipo tunapata y acoflani nanajua ko mbali na hapa
mbona mnazid kutuchanganya!! mara wi-fi mara WAN!!! tusiongee sa if we all experts baadhi yetu hatujui twahitaji msaada wenu so msituchanye..
 
Yaani kama mtu ulishawahi kuua unawaza mambo ya watu kufariki fariki hata kama mabo hayahusiani, sasa hapa mambo ya babu kufariki yametoka wapi?

Damu ya mtu mbaya kweli kweli (Igunga, USA na Singida).

Bongo lala
 
WAN nam Wlan ni vtu2 tofauti.me nimeuliza WAN

WAN ni wide area network. Hii hakika ni internet,

WiFi ni local wireless networks ambazo kwenye back end yaani upande wa mtoa huduma za WiFi anaaunganisha kwenda kwenye WAN ili kuunganisha wateja wake kwenye internet


Hayo ndio mahusiano ya WiFi na WAN. Ila note kitu muhimu ni kuwa si kila WiFi network inatumika kukuunganisha kwenye internet service. Mtu anaweza kutengeneza network ya aina hii kwa shughuli nyingine kama file and printer sharing within local network
 
Back
Top Bottom