Kweli...??hilo jina tu ukiamua unaweza kuiita red monday
Kweli...??
Basi mimi naiita White Monday kuanzia leo..
Junior. Cux we unaiita hvyo coz umeamka na Mining'inio yako ya jana pale Coco Beachit is blue monday only if umeamka powah na inaenda flesh.. ka dili zako zimegoma u cant col t blue monday.!!! n' sio monday pek yake, t aplyz kweny siku zote...
myn iz a black mnday.!!
Junior. Cux we unaiita hvyo coz umeamka na Mining'inio yako ya jana pale Coco Beach
Bila kupata Mchemsho.
Kwangu me ni Blue n'White Monday!!
mh,me yangu leo ni dark black monday. make nlikuwa kwny paper ila nimeona nyota kweli. i thnk supp inaninyemelea!
supp mbna kawaida, nlidhan disco.!!! ponda raha kijana..
mwe Junior. Cux naogopa supp kuliko disco. make supp utaendelea kusoma,disco c narud hm thn naolewa tu!
mwe Junior. Cux naogopa supp kuliko disco. make supp utaendelea kusoma,disco c narud hm thn naolewa tu!
ah kuolewa raha wewe.. tena ikiwezekana ata ue usipige.!! wenzio wanakambilia ndoa..
Hahaha hahha hahah,Siku ya Chelsea......The Blues