Hatuna, labda upungufu wa hamu ya kuingiliana kimwili ambayo inasababishwa na
1. Emotion status ya kipindi hicho
2. Kuwa mbali na mpenzi wako hivyo kutoshiriki ngono kwa muda mrefu
3. Umri (hormonal change)
N.k
Dawa yake inategemea na tatizo.
Kwa wenzetu tatizo lipo pia ila haliitwi upungufu wa nguvu za kike....
Ni sababu hizo hizo pia husababisha 'upungufu wa nguvu za kiume'....kwa hiyo tunaweza kuwa tunaongelea 'the same problem' here, tofauti ni kuwa...kwa wanaume dalili zake ni dhahiri (zinajionyesha kwa kushindwa kusimamisha kabisa, au wakati muafaka unapohitaji kusimamisha, au kusimamishai lakini uume kutokuwa na nguvu kabisa ya kuweza penya uke na/au ******).
Wakati matatizo hayo hayo kwa wanawake...dalili zake zinaweza zisiwe dhairi, kwani wao kimaumbile hawahitaji 'kusimamisha'...wao kimaumbile wanaingiliwa, na wanaweza kuingiliwa hata wanapokuwa 'emotionally,
hormonal, etc' hawajiskii...unapaka mate/lube mzigo unaendelea. But basically, we are talking about the same problem that affect both men and women!
Hatuna, labda upungufu wa hamu ya kuingiliana kimwili ambayo inasababishwa na
1. Emotion status ya kipindi hicho
2. Kuwa mbali na mpenzi wako hivyo kutoshiriki ngono kwa muda mrefu
3. Umri (hormonal change)
N.k
Dawa yake inategemea na tatizo.
Tatizo si nguvu za kiume ni mahitaji ya dada zetu yamekuwa ya kiwango cha juu,
Bila dakika 45 anakwambia hajatosheka......
Sasa bila kutafuta mbinu mmbadala wanaume wengi mwisho dakika 15 kashamaliza.
Masigara, mapombe, chipsi yai, na lack of exercise! What do u expect????
heh!!!! I never thought of that! ila wanaume wa ck hizi wameishiwa nguvu za kiume ki ukweli maana hata ile tabia ya mwanamume kukojoa akachimba kishimo siku hizi hawawezi! kwa hiyo pamoja na hitaji kubwa la wanawake lkn na wanaume pia mmepungukiwa kubalini tu ukweli
Si bora wewe unaweza dk 15, kuna wengine dk 5 hawaweziTatizo si nguvu za kiume ni mahitaji ya dada zetu yamekuwa ya kiwango cha juu,
Bila dakika 45 anakwambia hajatosheka......
Sasa bila kutafuta mbinu mmbadala wanaume wengi mwisho dakika 15 kashamaliza.
Ahahaaaaaaa, umenichekesha sana! Yaani kukojoa na ukachimba shimo inaonyesha kwamba una nguvu nyingi za kiume? Kalagabao kabisa!
Ndio tatizo la watu kuanza kujiita mm MWANA art ukingali form one na hivyo kuyatupa masomo ya sayansi mapeeeeeema Kitu ambacho kinakukosesha walau basic sayansi!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sidhani mana wako wanene wanaspeed za sex kuliko wembamba :biggrin:Masigara, mapombe, chipsi yai, na lack of exercise! What do u expect????
Masigara, mapombe, chipsi yai, na lack of exercise! What do u expect????