Why UDSM is ranked number 1 , 2 and 3 in TANZANIA

udsm ni chuo cha ajabu sana kuna jamaa wangu alipata diviosion one akasoma bachelor arts and economics ila amejiriwa shule ya tambaza kama mwalimu wa uchumi......mshaahara wake laki 3.....halafu kuna jamaa wangu mwingine alishiaa darasa la saba akasoma mambo ya driving.......veta kwa wiki mbili ila kwa sasa ni dereva anaemuendesha wazili flani serikali mshaara wake milioni moja na nusu...........
sasa katika hawa ni yupi ana maisha bola

kijana ku fight na kutoka kimaisha si kazi ya chuo tena. Jamaa yeye ndo kaamua kua mwl na dereva huyo well kajitengenezea opportunity na akafika hapo alipo kuwalinganisha kwa kuangalia vyuo it's just wrong! Kuna wa2 kibao matajiri walioishia darasa la saba kipindi cha nyuma wamefanya makeke sasa wamewin so does that mean darasa la saba ni zaidi ya Chuo? THINK FIRST
 
Udsm..iko fresh tu tena ni cha kawaida sana ila ukweli ni kwamba chuo kina jina kubwa tu..lakini ukweli katika swala la labour market udsm hawawezi compete na wanafunzi wa vyuo vingine..basically (private), aliyesema zain african challenge kapatia kweli udsm wako nyuma kinoma kiingereza majority hawamudu vizuri, aliyesema kuhus baf..alternative yke ni b.com finance kwa udsm..na wanaosoma pale wengi ni watu wa kutoka shule za kata so fresh..tu hamna udasi
 
Mimi najua mnajadili bila link,watu wanaotoka shule za kata wanafaidi mana hapa cio st marry na hakuna tution,kubalini kua UD Ni tbs
 
ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. Udsm the only one. It acquare number 1 position ,number 2 position and 3. Then sua fourth



  • access to the best professors.
  • motivation atmosphere for students.
  • opportunity to pursue any field.
  • gud living experience.
  • opportunity for internships and jobs
  • largest library system in tanzania
  • diversity
  • great career opportunities
  • large budget compared to others.
  • leading in scientific researches
  • best students in the country.
  • book writings and publication.
  • innovative capabilities.
  • number of students is large compared to others
inabidi usali sana na kushukuru kama umepata kusoma udsm, it is a once in a life time chance.
vilaza mtajiju, vilaza mtajiju, vyuo vya kata mtajiju, aili mgando mtajiju:flypig: We fly high


acha ushamba wewe,kama unasoma au ulisoma ud then what???
 
hiyo ilikuwa zamani my dear! nimesoma hapo recently i had to shift to another university in U.K, nakumbuka siku niliyoambiwa nimechaguliwa ud nilivyokuwa na furaha ila kufika huko sasa!? mwe! migomo, mara umepamgiwa mabibo usafiri magumashi haya marks sasa! utachoka mwenyewe!

we kubali tu ulikua kilaza bana..acha kutoa visingzio ambavyo havina kichwa wala miguu.
 
Udsm..iko fresh tu tena ni cha kawaida sana ila ukweli ni kwamba chuo kina jina kubwa tu..lakini ukweli katika swala la labour market udsm hawawezi compete na wanafunzi wa vyuo vingine..basically (private), aliyesema zain african challenge kapatia kweli udsm wako nyuma kinoma kiingereza majority hawamudu vizuri, aliyesema kuhus baf..alternative yke ni b.com finance kwa udsm..na wanaosoma pale wengi ni watu wa kutoka shule za kata so fresh..tu hamna udasi

acha kujifariji kizembe wewe, hao wanaosoma vyuo vya kata kwani wanafundishwa kiingereza huko?
Hapa tatizo wengi mnafanya kitu ambacho mnakataza wengine wasifanye...
 
Ahahahahaha, 4 dc am interested bt I thanx God 2 join UDSM, so maneno mengne ya wafa maji 2, mtachonga mpaka mkome coz kwanza huwez kuchaguliwa Ud km we kilaza. Polen kwa kwenda vyuo vya kata!
 
UDSM ni chuo cha kawaida sana. Hakijawahi kutoa Nobel Laureate hata mmoja.
Kimeshawahi toa recipient wa joint Nobel Peace Prize mwaka 2007, pamoja na Al Gore katika suala la kupasha habari za kitafiti juu ya mabadiliko ya tabia nchi. Anaitwa Pius Z. Yanda - Profesa wa Physical Geography pale Institute of Resource Assessment. Yeye alikuwa kwenye technical timu ya IPCC - Intergovernmental Panel on Climate Change, pamoja na wataalamu wengine. Tena hata humu ilijadiliwa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/7878-prof-pius-yanda-ashinda-zawadi-ya-nobel.html The Nobel Peace Prize 2007 was awarded jointly to Intergovernmental Panel on Climate Change (IPCC) and Albert Arnold (Al) Gore Jr. "for their efforts to build up and disseminate greater knowledge about man-made climate change, and to lay the foundations for the measures that are needed to counteract such change" . The Nobel Peace Prize 2007 Yanda na timu hiyo waliandaa andiko hili chini, ambalo lilikuwa sehemu ya report nzima ya IPCC - 4th Assessment Report ya mwaka 2007. Ingawa hakushinda kama yeye binafsi, lakini anastahili recognition kama mmoja wa wataalamu wa IPCC walioshinda tuzo hiyo kwa pamoja na Gore.
 

Attachments

  • CC impacts and adaptation in Africa--IPCC.pdf
    1.8 MB · Views: 24
badilikeni vijana kinacho mater si chuo ulichosoma,gpa ya nguvu na bidii yako ndiyo itakayo kutoa,kuna saplimentary ngapi hapo ud,kama ni chuo cha magenious zisinge tokea hzo sup,acheni kujiona sana nyie vijana wa ud,
 
we kubali tu ulikua kilaza bana..acha kutoa visingzio ambavyo havina kichwa wala miguu.
kilaza!! nna div 1.3 EGm form six, and graduated from university of london with fiirst class!! kilaza niwe mimi!!?...honestly udsm tatizo kubwa ni mfumo, it has a good reputaton in tanzania no doubt! but that is changing once vyuo vya nje viki set up campuses here utaona utofauti!
 
Kitu cha muhimu ambacho ujfunze kijana ni kwamba,uckariri sana maswala ya darasani kwani kwani unaweza ukawa umesomea udsm na pia ukabaki unaangaika mtaani,KITU CHA MSINGI KWANZA SOMA MAISHA NA IFUATIE ELIMU kwani unaweza ukafaulu darasani ukaja ukafeli maisha.ukae ukijua kwamba ufaulu wa mwanafunzi haijalishi umesomea chuo gani,bali unajitumaje katka kuhakikisha unafaulu kiukweli katika assignment za aina yeyote ile,na akili yako ikistack kusubiri ajira utajufa maskini.JITUME KATIKA MASOMO YAKO NA UHAKIKISHE UNAANZA KUYASOMA MAISHA YAKO
 
Eti watu wanasoma ud,chuo kina miaka 50 wanajilinganisha na wanaosoma saut ya 1998,alaf wamemaliza wote form six na wanajuana kiuwezo,mtu anadiriki kumwita mwenzio kua ni kilaza kisa amechaguliwa ifm! Mtihani wenyewe wa 4m6 amefaulu kwa bahati ata yeye anasema ivyo.
Nb.kwa utaratibu huu wa kuvizia necta kwa kipimo cha siku tano,kwa kweli mfumo yetu bado ina walakini mwingi sana,mwanafunzi anasoma miaka miwili bila kufanya majaribio na walimu wanapika continous assesment ya wanafunzi,baadae mwanafunzi anafanya mtihani mock na kupata 1.7 anajiita kipanga na necta anapata 3 ya 14 anasema necta hawanajipya
 
Hata mimi nimesoma Mlimani ila kukifananisha chuo kilicho na zaidi ya miaka 50 na chuo kichanga kama Udom,sekuko,eckenford n.k ni kutuaibisha sisi wahitimu wenzio.hapa nadhani ungefananisha MLIMANI na chuo kama makerere hivi ambavyo angalau vinakaribiana kiumri. Nina wasiwasi huwenda wewe ukawa ni first year, bado una mawazo ya kiform six. unachokifanya wewe ni sawa na kumlinganisha mtoto mchanga na mtu mzima kuwa ni nani mwenye akili? its likely jibu liko wazi tu.hebu kasome PL11(CRITICAL THINKING AND ARGUMENTATION), hii kozi zamani tulipokuwa tunasoma sisi ilikuwa ni lazima ili iwawezeshe wanafunzi kufikiria barabara, sijui siku hizi kama ipo.
pili, kwa wale mnaokidunisha mlimani kwa kuangalia baadhi ya utendaji wa watu wachache ambao sina haja ya kuwarudia kuwataja kwa sababu mmeshawataja wenyewe, HUO SI MTIZAMO SAHIHI wa kisomi, ila kama mnaingiza siasa basi mtakuwa mnakosea zaidi kuchanganya hivi vitu viwili(huu ni mtizamo wangu tu unaweza kukubaliana nami kukubaliana au kukubaliana nami kutokukubaliana). mimi naamini mlimani imetoa na bado inaendelea kutoa wataalamu wazuri tu, ukitaka kulijuwa hili hebu toka nje ya nchi uone wataalamu wa tanzania wanavyofanyakazi tena kwa ufanisi mkubwa sana. hivi hujiulizi madaktari, wahandisi, maprofesa wanaoikimbia nchi na kuja kufanya kazi huku ughaibuni kama wangekuwa vilaza unadhani wangepokelewa na kufanya kazi huku???wengi wao wamehitimu mlimani, japo wapo pia baadhi kutoka vyuo vingine. jamani tuwe na mawazo balanced na tusiwe conservatives!
 
kilaza!! nna div 1.3 EGm form six, and graduated from university of london with fiirst class!! kilaza niwe mimi!!?...honestly udsm tatizo kubwa ni mfumo, it has a good reputaton in tanzania no doubt! but that is changing once vyuo vya nje viki set up campuses here utaona utofauti!

kwa hyo ulidisco ndo ukakimbilia huko london sio,maana me nijuavyo jembe lolote likidisco ud na likaenda chuo kingne lazma likaweke 1st class?
 
Ukimuona mtu anapenda kutumia mgongo wa chuo kujigamba , kuna uwezekano mkubwa wa kushindwa kusimama yeye mwenyewe
 
kwa hyo ulidisco ndo ukakimbilia huko london sio,maana me nijuavyo jembe lolote likidisco ud na likaenda chuo kingne lazma likaweke 1st class?

ha ha ha haa wala sikudisco, mazingira yalinishinda, kuishi mabibo mcchezo!? i couldn't kwakweli afu niliwahi koswa koswa na bomu la machozi mwe!! nikaona isiwe tabu nikasepa fasta but i loved being there!
 
Hii inanikumbusha enzi zile kuna shule za special ambazo zilijenga heshima sana kwa wale waliopita kiasi kwamba kila anaesoma pale alijisikia hata kama ni kilaza hivyo hata kipindi hiki kuna ambao wanajisikia japokuwa performance ni ya kawaida. UDSM imepitia vipindi vingi kama vile elimu yetu ya sekondari na msingi ilivyopita, kwa maana hiyo hata kitaaluma bado performance pia zinatofautiana kutokana na umepita lini hapo hivyo basi aliesoma miaka ya 70 hapo, miaka 80, miaka 90, mwanzo mwa 2000 na sasa wana tofauti na kile walichopata kutokana na taaluma waliyopata kwani kwa miaka ya nyuma wanachuo walikua wanapata kitu live toka kwa wahadhiri tofauti na sasa watu wanapigwa assignment mhadhiri anakwenda kupiga consultancy work tena wanafunzi wenyewe ni wengi mno. Vijana angalieni what next baada ya kumaliza chuo kwani wote mwisho wa siku mtaajiriwa humu humu nchini pamoja na wanavyuo wengine. Ni kweli UDSM imejenga heshima kwa kutoa product nyingi tangu miaka ya nyuma ila bado kazi ipo kwa kizazi hiki cha sasa kinachoingia kwani bado changamoto ni nyingi huku uraiani kwa sie tuliotangulia miaka ya nyuma enzi hizo wahadhiri wanatumia chalk si power point kama sasa tunashuhudia jinsi vijana wasivyo na confidence pindi wanavyonyaka first appointment.

UD ipo juu sawa ila hata hivi vingine vinakuwa sawa kwa baadhi ya fani ambazo zinatambulisha chuo kwani vyuo vingi ukiondoa UD vilikuwa ni institute ambazo zilikuwa specific kwenye course flan flani hivyo kwenye hizo course vingi vipo safi
 
Kitu cha muhimu ambacho ujfunze kijana ni kwamba,uckariri sana maswala ya darasani kwani kwani unaweza ukawa umesomea udsm na pia ukabaki unaangaika mtaani,KITU CHA MSINGI KWANZA SOMA MAISHA NA IFUATIE ELIMU kwani unaweza ukafaulu darasani ukaja ukafeli maisha.ukae ukijua kwamba ufaulu wa mwanafunzi haijalishi umesomea chuo gani,bali unajitumaje katka kuhakikisha unafaulu kiukweli katika assignment za aina yeyote ile,na akili yako ikistack kusubiri ajira utajufa maskini.JITUME KATIKA MASOMO YAKO NA UHAKIKISHE UNAANZA KUYASOMA MAISHA YAKO

Point kaka hapa kuna wanao ingia chuo wapate cheti wakatafute ajira (hawa ndio wale utasikia nina distinction na div 1 A-level na vitu kama hivyo wakati akija huku uraiani ni general knowledge plus reasoning capacity aliyopata chuo ndio inatumika zaidi kuliko hata hizo A zake alizopata) na kuna ambao wanaingia chuo kwenda kuelimika ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha pindi wanapomaliza (mara nyingi watu wa namna hii hawana majigambo na wanajua nini cha kufanya na wakati mwingine unaweza kukuta hata amejiajiri mwenyewe)
 
Back
Top Bottom