Why UDSM is ranked number 1 , 2 and 3 in TANZANIA

Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia majigambo ya wasomao ud kiukweli wanaoisifu ud mnatakiwa mtoe vigezo thabiti. Basic english na hata kiswahili mnachemka. (review post kwa makini). Wapo watu walikuwa na wani zao kali lakini wamejiunga na vyuo vingine kwa sababu ud hamna degree program wanazotaka k.v baaf, lmv na nyinginezo nyingi. Tafiti wasomi wanagimba wamesoma special na ud sample ya j.k, mwigulu na wengineo in real sense ni vilaza (japo kuna exceptions ambao kila chuo huwanao hata kama unakidharau vipi). Miaka 50 ya serikali iliyojaa wasomi wa ud bado hali ni tete. Wachumi, wanasiasa, engineers bado nchi haina cha maana cha kujivunia. Inasikitisha pamoja na miaka 50 ya ud kuzalisha wasomi Tanzania bado nchi ya Jenerali Kagame iliyotoka vitani ikiwa disiorganised na wasomi wachache imetupiga bao. Wasomi wa ud acheni upuuzi tunataka ubunifu. Upuuzi wenu hauendani na majigambo mliyonayo kwenye zain african challenge mlikuwa mnatuaibisha hadi mkajitoa. Watu wanaostahili lawama kwa kufikisha nchi hapa ni ud na ccm.

we need people lyk u in ed forum,not those clown
 
Daah nimesahau,vipi sua wao wameshaibuka kidedea mara ngapi vile?
 
Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth
  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
6¤7INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH
Usiangalia ukubwa wa chuo wakati bichwa kimejaa maji na hapo sio ticket ya maisha bora jifurahishe moyo na baadaye uje kumkukata ugumu wa maisha upambane nae, ndio ujue hana rafiki na weye sifa kama zako!
 
HIVI wewe utakua lini ndugu au ufundishweje ndo ujue ukilaza au u competent hautokani na chuo ni mwanafunzi kujishughulisha....najua ni u first year unakusumbua wenzako wanajua hilo kuwa chuo ni ili mradi uwe na uwezo na unachokisoma ukipende then tabia ya kusifia sifia vitu bila mpango humu jamvini naona imezidi baada ya ya first year kupangiwa.....najua mtakua na mtajua udsm wala udom wala sua haikupi market kwenye soko la ajira what we need is your competence
 
Jamani product za ud zina ubora gani kama kila siku tunaajiri wataalamu kutoka china na kwingineko.Miradi mingi imejaa expert kutoka njee kama ile ya barabara n.k.

Elimu ya watu wa ud iko katika makaratasi tu lakini kivitendo ni janga la kitaifa.Miaka 50 ya uhuru, product za ud zimeifanya hii nchi kuwa ya tatu kutoka mwisho katika ile orodha ya nchi maskini sana duniani.Poduct za ud zimeshindwa kutumia rasilimali zetu kuifanya nchi yetu iwe juu kimaendeleo.

Product za ud zimeshindwa hata kujenga kiwanda cha toothpick, matokeo yake tunaagiza nje.

Product za ud si ndio zimeua viwanda na mashirika ya umma.

Product za ud zimeshindwa kusimamia viwanda na mashirika ya umma mpaka zikaamua zibinafsishe kwa wazungu kwani walijua wao hawana utaalamu na uwezo wa kuviendesha.Sasa kama mmeshindwa hata kuendesha mashirika yenu, tena mengine ni mashirika madogo tu, huo ubora wa elimu ya ud uko wapi?

Product za ud si ndio zinatoa wanasheria wanaosaini mikataba mibovu ya nchi kama vile ni misikule na sio watu hai na wenye akili timamu.

Product za ud si ndio zilikuwa zinadai eti hatuihitaji katiba mpya.

Product za ud zina kipi cha kijivunia katika viwango vya kimataifa?

Leo hii ud kuna kozi ngapi pale hazipatikani mpaka watu wapelekwe nje ya nchi.Umri wa chuo na idadi ya kozi ambazo mpaka leo pale hazipo ni aibu tupu.Hata kenya wanatushinda.

Bora niishie hapa tu maana kero ni nyingi.
 
GPA ikianza kusoma naomba urudi tena haswaa ukifika second year SECOND SEMISTER
 
UDSM ni chuo cha kawaida sana.

Hakijawahi kutoa Nobel Laureate hata mmoja.

Na kusoma hapo haimaanishi wewe una akili.

Kila siku huku mtaani tunawakimbiza hao waliosoma hapo.

Watu kama Kikwete, Ridhiwani, na Sophia Simba kamwe hawawezi kunitisha. Na hao wote ni UDSM graduates na hao wawili wa mwisho ni graduates wa hiyo vaunted faculty of law ambayo kusema kweli haina ugumu wowote ila nadhani kwa vile lugha ya Kizungu ni janga la kitaifa ndiyo maana huwa inaaminika kwa baadhi ya watu kuwa sheria ni ngumu sana. Hapana, haina ugumu wowote ule.

Kwani tunawahitaji hao wenye manobeli kwa ajili ya nini?
 
Mimi napinga vikali majigambo ya vyuo eti Udsm,sua nk,naomba niwambie kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza,udsm jamani msidhani kwamba mna ubora fulani ambao vyuo vingine hawana,nawapeni nafasi kuchagua degree prgm moja tulinganishe na vyuo vingine hili tugundue jipya la udsm! Kupromot vyuo vyeti haina faida yoyote kwa taifa hili zaidi ni ufinyu,uzembe na ukiwete wa kutofikiri nini hasa maana ya elimu zetu kwa taifa letu,kama mngekuwa na ubora huo basi leo tanzania tungekuwa mbali kimaendelea lkn kutokana na matatizo yaleyale leo tz tuko hapa na nchi hii sector nyngi zimeshikwa na ud products mbona nothing !, tusipende kuficha mapungufu yetu chini ya koti lililojaa chawa,jaribuni kufikiria kwa makini nn hasa wananchi wanapenda kuona kutoka katika vyuo vyetu sio majungu na kujikweza eti ud,sua,udom,muccobs,saut nk huku taifa linaangamia kwa kukosa watendaji wazuri wanaoendana na wakati tulionao,huu siyo wakati kabisa wa kujisifia while taifa linaangamia kwa kukosa critical thinkers. Ushaur tujaribu kuwa watu wa kuwaza kesho yetu kwa manufaa sisi wenyewe na taifa letu,kilachuo kina nafasi yake katika ujenzi wa taifa hili. Ni hayo2
 
Si kweli labda miaka hii ambayo wanafunzi wa shule za kata wamekuwa wengi, kwa kumbukumbu zangu udsm hapo nyuma wamekuwa wakichukua div. 3 nyingi sana katika baadhi ya course , na mind you mleta hii hoja, wanafunzi wa division 2 au 3 wa miaka ya nyuma walikuwa pengine wakali kuliko wa division 1 za kata

wewe mwanafunzi wa kata aliepata division 1 ni kchwa ile mbaya, ni mwenye kuweze kufight on his/her own na sio mwenye kutegemea spoon feeding, YOU ARE SO DAMN WRONG.....
 
Kwa maoni yangu ubora wa Chuo kikuu ni!
- Uzoefu,uwezo na taaluma za wahadhiri.
- Ufaulu wa wanafunzi (High GPA)
- Matumizi makubwa ya Kitechnolojia za kisasa ktk uendeshaji wa shughuli za Kiutawala na Kitaaluma.
- Mpangilio bora na majengo ya kisasa (maktaba, maabara, Ofisi na mabweni) na mazingira yake
- Uwezo mkubwa wa kufanya tafiti bora na Ushauri (Publication , researches and consultations)
- Wingi wa taaluma mchanganyiko.
- Status/reputation from employers and Public


Ni Historia pekee ndio inaiweka UDSM kuwa chuo kikuu cha kwanza TZ na sio chuo bora, kwahiyo kwa vyovyote vile wanasiasa na wazee wengi maarufu lazima walipitia hapo zamani hapakuwepo kingine, Na serikali iliweka nguvu zote hapo kwakua kulikuwa khakuna chuo kikuu kingine.Eti good atmosphere, hivi sio Mabibo hostel waliokuwa wanalalamika ukosefu wa maji na vyoo kunuka? Ukubwa wa chuo pia sio ubora wa chuo, kama ni ukubwa kwa eneo basi SUA kina ongoza, Suala la chuo cha serikali kupewa bajeti kubwa linategemea ukubwa wa chuo na sio ubora wake.Suala la kusema wanafunzi bora wanatoka Udsm kwa kigezo kipi? (kuongoza kuwa na machangudoa? kuwa na idadi kubwa ya discont..? kuongoza kwa low GPA? kuongoza kwa migomo? kuwa naufanisi mdogo kwenye maeneo ya kazi?kuongoza kwa kufanyiwa tafiti mtaani (za Undergraduate na Postgraduate)? Chuo bora ni product inayotoka!Uzuri wa Kiwanda ni Ubora wa bidhaa zake.
 
The best among the poorest, check rank ya chuo hiko katika vyuo vya dunia, na africa peke yake, just find out by google by urself then uanze kufuta hizo sifa moja baada ya nyingine, sooooo saaaad!
 
Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth

  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
​INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.
VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH
umeanza vizuri ukamalizia pumba,utoto bwana
 
mnifu UDSM ni wendawazimu,,,kuna msela wangu katoa DIV 1 ya 16 o level na DIV 2 ya 10 A level comb ya EGM kaenda SUA kuchukukua Ba of Agribusiness $ agroeconomics ambayo HAIPO UDSM,,mimi kilaza niliyetoa One ya 17 o level na 2 ya 11 EGM udsm,,,nimechaguliwa UDSM,,haitoshi kuna msela SHEGA MAYILA alitoa div 1 ya 12 o level na katoa Div 1 ya 6 A level PCM jamaa kaenda UDOM kusoma Ba of education in MATHEMATICS....TUNAOSOMA UDSM tusijione ndo tunafaa kuliko wengine,,,NI UPUUZI KUJIONA MATAWI..
 
Jamani ushindani wa vyuo sio mzuri, chuo ni chuo tu. lakini kila sehemu kuna ranking . hata mabata kuna bata mkubwa, mdogo. hata kichaa kuna kichaa zaidi, mwingine kidogo. haimaanishi kwamba udsm ndo ina best student. ila tu chu kama chuo kinakuwa graded number 1. kwa hiyo mi naamini kila chuo kinatoa wanafunzi bora na wenye kipawa. raisi kutoka ccm haimaanishi kuwa chadema si chama kizuri,. tuwe wepesi wa kufikiria jamani:bolt:
 
Ahaa ! kumbe ukienda UDSM unakuwa sio kilaza ? nakubali udsm wapo wanafunzi wengi wakali but pia wa kawaida sana wapo , nakumbuka jamaa wengi tu na wengine ni jamaa zangu wamedisco wakiwa pale udsm
hey sio poa kabisa kubonda vyuo vingine;;;;;;;;;bila yeye ungepangwa apo ulipo wewe;;;ebbuu tuwe watu wakushukuru kuliko majungu;;;;;;;chuo cha kata hakikuusu na hau vilaza hawakupenda kua vilaza;;;;;ebu tutambue we all human being but dffrnt brain performance;;;so dnt discourage others;;;;;;;
 
Back
Top Bottom