Why UDSM is ranked number 1 , 2 and 3 in TANZANIA

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
823
1,335
Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth



  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
​INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.
VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH

 
Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth



  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
​INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.
VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH

Ahaa ! kumbe ukienda UDSM unakuwa sio kilaza ? nakubali udsm wapo wanafunzi wengi wakali but pia wa kawaida sana wapo , nakumbuka jamaa wengi tu na wengine ni jamaa zangu wamedisco wakiwa pale udsm
 
You might be right, lakini hali inabadilika. Tatizo la vyuo binafsi ni tamaa ya wealth accumulation kwa owners badala ya kuvijenga both in terms of infrastructure and superstructure
 
Si kweli labda miaka hii ambayo wanafunzi wa shule za kata wamekuwa wengi, kwa kumbukumbu zangu udsm hapo nyuma wamekuwa wakichukua div. 3 nyingi sana katika baadhi ya course , na mind you mleta hii hoja, wanafunzi wa division 2 au 3 wa miaka ya nyuma walikuwa pengine wakali kuliko wa division 1 za kata
 
Unajua ni nn tukiendelea kubishana sana na hawa watu hamna kingine zaidi ya kuwa paisha kuwafanya wazidi kujisikia wapo juu dawa ni kukubaliana nao tu kwamba sisi vilaza wao magenious kweli mpo juu bt msitunyanyapae bac wa vyuo vya kata couse hata wa oxford,harvard wakianza kuongea na nyie mtakua cha kata tu piga UD napiga cha kata mwisho wa siku tupo wote ofisini what the difference?.......
 
udsm will remain in the history of Tanzania and East Africa in general as the place of excellence! Jk na serikali ya ccm wanajitahidi sana kududunisha fikra za udsm na kupromote udom ila hila zao zinashindwa kila kukicha. Tuna kila sababu ya kuimarisha vyuo vingine kwa kuiga mfano wa udsm kwn hata hao wengine wanaoenda vyuo hivyo ni watanzania na wanarudi kuwatumikia watanzania
 
UDSM wanaoingia na div. kali ni wale wa course za social sience na wachache wa pure, from my experience, mwanafunzi aliyesoma pure science ni rahisi sana kupasua social science except sheria, lakini ukichukua upande wa pili social science hawezi kumudu pure science, kwa namna hiyo ukiangalia udsm course nying za social science, mtazamo wangu ufaulu wa form six sio tija sana , udsm na vyuo vingine hivyo vinavyodharaurika wanafunzi watakao graduate wanaweza kutengenezwa na aina ya walimu wao 2 na hakuna zaidi ya hapo, ubora wa wahadhiri ndo unaotoa ubora wa mwanafunzi
 
udsm will remain in the history of Tanzania and East Africa in general as the place of excellence! Jk na serikali ya ccm wanajitahidi sana kududunisha fikra za udsm na kupromote udom ila hila zao zinashindwa kila kukicha. Tuna kila sababu ya kuimarisha vyuo vingine kwa kuiga mfano wa udsm kwn hata hao wengine wanaoenda vyuo hivyo ni watanzania na wanarudi kuwatumikia watanzania

na hapa ndio utagundua ud wengi ni vilaza unawezaje kulinganisha udsm yenye miaka 50 na udom with 5yrs. Ninachoamini kila chuo kina watu wakali na wenye fikra pana lkn pia wapo vilaza. Tuache fikra mgando.
 
Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth



  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.
VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH



Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbav zangu...ha ha ha
 
Udsm will remain that for so many years to come! Huwa hata huku street nimekuwa nikiangalia wanafunzi kutoka vyuo vingine jinsi wanavyoongea utumbo... hawana hata busara katika maongezi yao..hata pale wanapijitahidi kujifananisha na udsm hoja zao ni mfu.. Bora SUA NA MZUMBE! wale wanaweza kushindana na UDSM kwa mengi, but only Global University here in Tz are UDSM AND SUA!
 
........even after mushrooming of universities in Tanzania UDSM remains 'The University'.
 
Ten reasonSasa kama ndo hivyo bora vya kata kama hata basic english huwezi halafu unasema Ud ipo juu
 
j.k alisoma pale.mwigulu nchemba amesoma pale. Lowassa amesoma pale.dr asharose mingiro aliyechemka un amesoma pale, idrisa rashidi amesoma pale halafu mnasema eti pa maana hili taifa limeangamia kutokana na wasomi wa udsm.mafisadi wahujumu uchumi wazee wa matamko na kuropoka wamesoma pale,wadada wanaoongoza kujiuza mlimani city wanatoka pale, watu wengi wanaotoka vijijini ambao hawajawahi kuona jiji ndio wamejazana pale
 
UDSM ni chuo cha kawaida sana.

Hakijawahi kutoa Nobel Laureate hata mmoja.

Na kusoma hapo haimaanishi wewe una akili.

Kila siku huku mtaani tunawakimbiza hao waliosoma hapo.

Watu kama Kikwete, Ridhiwani, na Sophia Simba kamwe hawawezi kunitisha. Na hao wote ni UDSM graduates na hao wawili wa mwisho ni graduates wa hiyo vaunted faculty of law ambayo kusema kweli haina ugumu wowote ila nadhani kwa vile lugha ya Kizungu ni janga la kitaifa ndiyo maana huwa inaaminika kwa baadhi ya watu kuwa sheria ni ngumu sana. Hapana, haina ugumu wowote ule.
 
Hivi ndugu Zangu kwenye Yale Mashindano Ya Zain Challange udzm huwa inaishia Raundi Ya Ngapi?? Hapa ndo utajua ya kwamba udzm ina vilaza kibao !!
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia majigambo ya wasomao ud kiukweli wanaoisifu ud mnatakiwa mtoe vigezo thabiti. Basic english na hata kiswahili mnachemka. (review post kwa makini). Wapo watu walikuwa na wani zao kali lakini wamejiunga na vyuo vingine kwa sababu ud hamna degree program wanazotaka k.v baaf, lmv na nyinginezo nyingi. Tafiti wasomi wanagimba wamesoma special na ud sample ya j.k, mwigulu na wengineo in real sense ni vilaza (japo kuna exceptions ambao kila chuo huwanao hata kama unakidharau vipi). Miaka 50 ya serikali iliyojaa wasomi wa ud bado hali ni tete. Wachumi, wanasiasa, engineers bado nchi haina cha maana cha kujivunia. Inasikitisha pamoja na miaka 50 ya ud kuzalisha wasomi Tanzania bado nchi ya Jenerali Kagame iliyotoka vitani ikiwa disiorganised na wasomi wachache imetupiga bao. Wasomi wa ud acheni upuuzi tunataka ubunifu. Upuuzi wenu hauendani na majigambo mliyonayo kwenye zain african challenge mlikuwa mnatuaibisha hadi mkajitoa. Watu wanaostahili lawama kwa kufikisha nchi hapa ni ud na ccm.
 
Ten reason this university of gifted students in the country is ranked number one. UDSM the only one. it acquare number 1 position ,number 2 position and 3. then SUA fourth



  • Access to the best professors.
  • Motivation atmosphere for students.
  • Opportunity to pursue any field.
  • Gud living experience.
  • Opportunity for internships and jobs
  • Largest Library system in Tanzania
  • Diversity
  • Great career opportunities
  • Large budget compared to others.
  • Leading in scientific researches
  • Best students in the country.
  • Book writings and publication.
  • Innovative capabilities.
  • Number of students is large compared to others
6¤7INABIDI USALI SANA NA KUSHUKURU KAMA UMEPATA KUSOMA UDSM, IT IS A ONCE IN A LIFE TIME CHANCE.
VILAZA MTAJIJU, VILAZA MTAJIJU, VYUO VYA KATA MTAJIJU, AILI MGANDO MTAJIJU:flypig: WE FLY HIGH


kwel jf imevamiwa na vilaza
kwanza muombe Mungu akusaidie kumaliza chuo coz weng tu wanafariki na ajal,magonjwa,n.k
pil muombe Mungu upate kaz baada ya kumaliza na kama unasoma Ed mishahara inafanana kwa wahitimu wa vyuo vyote,
3.ofic yoyote utakayoenda kufanya kaz utafanya na watu kutoka vyuo vyote,labda hata HRM atakaekuajir hajatoka Udsm
4.watu wa aina yenu weng wanadisco,weng walimaliza shule kal na walidisko
ngoja ninywe maji narud.....
 
udsm will remain in the history of Tanzania and East Africa in general as the place of excellence! Jk na serikali ya ccm wanajitahidi sana kududunisha fikra za udsm na kupromote udom ila hila zao zinashindwa kila kukicha. Tuna kila sababu ya kuimarisha vyuo vingine kwa kuiga mfano wa udsm kwn hata hao wengine wanaoenda vyuo hivyo ni watanzania na wanarudi kuwatumikia watanzania

et in East africa,vilaza weng kwel,unajua kilishika nafac ya ngap kwenye yale mashindano ya airtel?
Na nairobi univ ilishika nafc ya ngap?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom