Mathias BM
Member
- Jun 28, 2012
- 21
- 3
Kwa Jinsi Ninavyofahamu Nimegundua Kwamba Watu Hupata Wachumba Na Kuwekeana Nia Ya Dhati Kuwa Wataoana Katika Kila Stage Ndani Ya Maisha Ya Shule Mfano Std 1-7, Frm1-4,5-6 U'versity/college Etc, Lakini Cha Kushangaza Asilimia 5 Ndo Wanaofikia Malengo 95% Go away! Do U Think Why? Make Reference To Your School Life History Then Give Your Portable Comments And What To Be Done.