wanasema nchi zinazopewa misaada mingi
nyingi ndo masikini zaidi
yaani misaada inawaongezea umasikini
hiyo yaweza kuwa sababu
WAMETHUBUTU,WAME...................................Damn
huu mseme unanichefua kila nikiusikia
Tunaadhimisha miaka 50 ya uhuru wa kukopa.Hii habari imenisikitisha sana ukizingatia tunaadhimisha miaka 50 ya uhuru. Haya ndio mazao ya ccm na ujinga wa wananchi.
Kweli ukimwona mtu yupo ccm jua ni mpumbavu.
Mimi sio Matonya, ni Kiherehere cha kikwete na Mafisadi wenzake ndio wanotutia aibu
Hii habari imenisikitisha sana ukizingatia tunaadhimisha miaka 50 ya uhuru.
Maelezo haya peke yake yametosha... Haki ya nani, hakuna cha kujisifia hata kidogo..Tanzania, whose aid portfolio has ballooned to over Sh3 trillion (about $2.89 billion) in its 50 years of independence, is currently Africa's top beggar for development assistance, The Citizen on Sunday can authoritatively report today.That level of dependency makes it the third leading recipient of official development assistance (Oda) in the world after war-torn Iraq and Afghanistan.
Maelezo haya peke yake yametosha... Haki ya nani, msifikirie beggars tu, fikirie kuwa haya ni madeni ambayo tutayalipa.. hakuna cha kujisifia hata kidogo..Tanzania, whose aid portfolio has ballooned to over Sh3 trillion (about $2.89 billion) in its 50 years of independence, is currently Africas top beggar for development assistance, The Citizen on Sunday can authoritatively report today.That level of dependency makes it the third leading recipient of official development assistance (Oda) in the world after war-torn Iraq and Afghanistan.
""But the government yesterday questioned the accuracy of the report, saying there were many other countries that received much more in foreign assistance than Tanzania. Finance and Economic Affairs deputy permanent secretary Servacius Likwelile told The Citizen on Sunday that countries like Israel and Egypt receive a substantial amount of assistance from the US annually, and wondered whether the report included military aid. ""
Yaani huu upuuzi wa viongozi wetu ndio kashfa kubwa zaidi. Huyu Likwelile anadhani report za watoa misaada zinaweza kuwa wrong?? Yaani bank ikopeshe watu halafu isijue ni kiasi gani imekopesha?? Kichekesho.
Israel na Egypt wanapewa misaada mikubwa ya vifaa vya majeshi ie F16 blah blah hawapewi pesa cash.
Report iko very open kuwa inazungumzia DEVELOPMENT AID.
Yaani aibu ya mwaka, Iraq na Afghanistan wao nchi zao ziliharibiwa vibaya baada ya vita, so ina make sense wapewe Aid kubwa, sisi Tunaoambiwa Kisiwa cha Amani, si Aibu hii.
Week ijao iwe ni week ya kutafakari, miaka 50 ijayo tunajipanga vipi, na kuomboleza balaa lililotupa miaka 50 iliyopita. HAKUNA SABABU YA SHEREHE KUBWA zinazotumia mabilioni ya hela.
Tanzania zaidi ya uijuavyo.
Ni kwa sababu viongozi wetu hawasomi kilichoandikwa bali wanarukia tu... Imesemwa wazi beggars for Development Assistance, sasa sielewi Egypt na Israel zinaingia vipi hapo.ndio hapo. Niliposoma maelezo yake nilitaka kutaapika. Hizi ndio akili zinazotuongoza. The first step to help urself is to admit your mistake. Hawa ni wapuuzi kweli. Hovyo wote...