bofloooooo! U mean four figure tables?
Mkuu kizazi cha dot.com unakichanganya tu. Hiyo enzi ya wasomi toka Uhuru mpaka miaka ya tisini ikaishia zake, tulikuwa tunasolve problems zote mpaka Geometric na Calculus kwa kutumia hiyo kitu mpaka raha. Siku hizi zimekamata calculator za visimu,computer basiiii, kwa nini ubongo usilale na ukichanganya na mashairi ya bongo flavor kushney.
Na hilo sio tu ni tatizo Tanzania, bali ulimwengu mzimaMkuu kizazi cha dot.com unakichanganya tu. Hiyo enzi ya wasomi toka Uhuru mpaka miaka ya tisini ikaishia zake, tulikuwa tunasolve problems zote mpaka Geometric na Calculus kwa kutumia hiyo kitu mpaka raha. Siku hizi zimekamata calculator za visimu,computer basiiii, kwa nini ubongo usilale na ukichanganya na mashairi ya bongo flavor kushney.
Nadhani uko sahihi.Wanakeep viuno vyao busier than keeping their brains busy