Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Jamani mkutano wa G20 unaendelea Canada! wakuu wa nchi hizi tajiri duniani zinaweka mikakati ya kukuza uchumi wa dunia na nchi zao. Nadhani Kikwete angekuwa yuko Canada angetumia muda huo kuomba misaada ya kuinyanyua Tanzania, kama kujenga daraja la Kigamboni, umeme vijijini...hii ingepunguza safari za mkuu wa nchi yetu, maana kuwa Canada angeonana na viongozi hao na kuwapa maombi ya misaada, Obama, Cameroun, Sarkozy wako wote huko. huenda misaada hiyo ingesaidia hata kampeni zake na uraisi na CCM lol.