Tukiwa tunaelekea miaka miwili toka Mpiganaji Chachage Chachage Afariki dunia,,Naomba tukumbushane mambo machache yaliyowahi kumkuta au aliyowahi kuyaongea Chachage katika harakati zake...
Moja ya vitu vinavyonifanya leo hii nimkumbuke ni kitendo cha yeye kuchukiwa hadharani na rais wa wakati huo bwana Mkapa hadi kufikia kusema
"Watanzania tusiwe kama Chachage Chachage maana yeye kila siku anakosoa tu na kuangalia mabaya kwa serikali"
Yote hayo yalitokana na chachage kua anapiga kelele sana katika vitendo vyote visivyokua vya kheri kwa jamii ya watanzania.
Je, tukiangalia yanayomkuta Mkapa sasa hivi je, Chachage alikua na uwezo wa kuona mbali zaidi?????
KARIBUNI
Tukiwa tunaelekea miaka miwili toka Mpiganaji Chachage Chachage Afariki dunia,,Naomba tukumbushane mambo machache yaliyowahi kumkuta au aliyowahi kuyaongea Chachage katika harakati zake...
Moja ya vitu vinavyonifanya leo hii nimkumbuke ni kitendo cha yeye kuchukiwa hadharani na rais wa wakati huo bwana Mkapa hadi kufikia kusema
"Watanzania tusiwe kama Chachage Chachage maana yeye kila siku anakosoa tu na kuangalia mabaya kwa serikali"
Yote hayo yalitokana na chachage kua anapiga kelele sana katika vitendo vyote visivyokua vya kheri kwa jamii ya watanzania.
Je, tukiangalia yanayomkuta Mkapa sasa hivi je, Chachage alikua na uwezo wa kuona mbali zaidi?????
KARIBUNI