First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
koz wanajua watakapokuwa nao uhakika wa kuishi mjini unakuwepo. Uswazi si umbea tu?
Mkuu umenivunja mbavu zangu! yaani nimecheka mpaka bahsiukiwa na mkoko ni km mbwa kaona chatu anajipeleka mwenyewe huku akitoa sauti ya mahaba daaaarliiiiiiiiiiiiing nioeeeeee
huku zenji lizma uwe na vespa sio gari banaaaa!
Hahahaha....zenjiii!!huku zenji lizma uwe na vespa sio gari banaaaa!
Mmh kama ni hivyo sina budi kuhamia zenji....wa huku bara vespa hawapandi ng'o labda Honda cc 250 - 400 tena iwe sportsHaaaa haaaa hii kweli mkuu, bila vespa hung'oi demu
Siyo siri baadhi ya mademu wa uswazi wananishangaza sana! yaani wakitongozwa na mwanaume mwenye gari
ni wepesi sana kumkubali huyo mtu kuliko mwanaume ambae hana gari. Mwenye gari anaweza kubeba mzigo within
2 or 3 dayz tu.....na asiye na gari inaweza kumchukua wiki 2 au hata mwezi ndipo abebe mzigo! Au anaweza asipe
we kabisa.....yaani siyo siri walio wengi kwanza gari, pesa inafuata....hasa hasa mademu wa age kanzia 18 - 30.
Swali linakuja -: Ni ushamba,mazingira ya uswazi yanachangia au wako sahihi?
Mkuu hayo ni mambo ya urojo na harua....kama hauamini muulize mamito wangu Faiza foxy mtoto wa lumumba na udoweHahahaha....zenjiii!!
Yaani we acha tu! sijui wana arage na magari....sijui ni ushamba. How come mwanaume mwenye gari ndio awe bora kwako? je kama kaliazima?
mimi naishi uswazi, na hicho kitu sijakiona! kwanza watoto wa ushwazi hawapendi watu wa dizaini hiyo!
huku zenji lizma uwe na vespa sio gari banaaaa!
Zamani kidogo ilikuwa simu ya mkononi, yaani demu unamsogeza tu kiulaiiiini
Mh sidhan kama waweza pata penzi la kweli, siwez kuruhusu kuwa na mke wa sample hiyo., hapo atakuwa kapenda gari na siyo mimi.
kam unalo jaribu na wewe afu uje jamvini kutoa ushuhuda..Mkuu! ninalo tena ni zuri sana
Umenchekesha kweli!Naamin enzi zenu maana waliokupenda kwa dhati sasa ni mabibi!Siku hizi haupendwi ww...wanataka raha zaidi. Hata ukiwa una ulemavu ukiwa nacho..wanakugombea!Mh sidhan kama waweza pata penzi la kweli, siwez kuruhusu kuwa na mke wa sample hiyo., hapo atakuwa kapenda gari na siyo mimi.
umepimaaa?Mkuu! ninalo tena ni zuri sana