Ndugu zangu wana JF ebu nisaidiene mara zote rais kikwete huwa anahudhuria kwenye kusimikwa kwa maskofu kuanziz mwezi wa tatu mpaka leo amehudhuria mara 5,ila sijawahi kumuona huku kwetu kwa waislamu kwani mabaraza yote ya IDDY na maulidi huwa haji zaidi ya kuwatuma wasaidizi hata kwenye kuapishwa kwa mashkeih wa mkoa huwa simuoni,ila nashangaa kwa yeye kuwa hodari kututumia sisi waislam kuksafisha kwa kuweka makongamano,mi naona si waislam tunatumika