Why is George W. Bush rated the Worst President Ever???

Bush amekuwa unpopular kwa sababu kubwa mbili.
1. Vita: Afghanstan na Iraq. Na kibaya zaidi juu ya hili ni kwamba vita ya Iraq haikuwa na ulazima wowote wa kupiganwa, jamaa alifanya kulazimisha tu kwa kutumia sababu za kubumba. Congress na Sanate walithibitisha hilo.
2.Uchumi: hizo vita mbili zimeigharimu sana nchi kiasi kwamba Hali ya uchumi duniani ilipoparaganyika US ikawa iko kwenye ukingo wa kutumbukia shimoni.

Nimekuelewa vizuri sana. Na nakubaliana na wewe.
 
Obama ni raisi mbovu pia. Asikudanganye mtu.

Wajua topic ilikuwa juu ya Bush kuja TZ.Na mara ile alifanya state visit,ya 4 days.. Mbeba maboksi yule aliniambia, wakati viongozi wengi wa Africa wanaaccumulate tu wealth kipindi cha uongozi,US na nchi nyingine zilizoendelea,viongozi wao wanapenda waache mambo ama vitu watakavyokumbukwa kwavyo... Ndiyo akasema GWB hana! Nikamuuliza je huyu anayemaliza awamu yake ya kwanza,atakuwa na lipi la kukumbukwa? Akasema ''labda sera yake ya huduma za afya''. Nadhani umenielewa..
 
Dunia iko salama zaidi kwasababu ya GWB. Achana na jamaa zetu waliokatiwa misaada na ufadhili kutoka kwa Magaidi. Hawawezi sema zuri lolote kuhusu Bush.
 
Dunia iko salama zaidi kwasababu ya GWB. Achana na jamaa zetu waliokatiwa misaada na ufadhili kutoka kwa Magaidi. Hawawezi sema zuri lolote kuhusu Bush.

Ndiyo maana natamani 'wabeba maboksi' waje watupie maoni yao humu..
 
Nakumbuka maneno yake... It is either you are with us,or with the terrorists.....!
 
So he is! As far as we have gone through these posts.. Americans see nothing as a mark left by him!
 
Mimi namu enzi sana Bush kwa uongozi aliyouendesha marekani. Kuwa katika pressure ni kitu cha kawaida kama rais ambaye macho yote inakutizama. Alisimama kidete na magaidi aka sadam, osama na kama angekuwepo hata sasa, angefuruga mipango yao Iran na kumbwaga Syria. Ananikumbusha rais mwingine wa marekani ambaye aliitwa Dwight d. Eisenhower wa republican mwaka wa 67.
 
Mimi namu enzi sana Bush kwa uongozi aliyouendesha marekani. Kuwa katika pressure ni kitu cha kawaida kama rais ambaye macho yote inakutizama. Alisimama kidete na magaidi aka sadam, osama na kama angekuwepo hata sasa, angefuruga mipango yao Iran na kumbwaga Syria. Ananikumbusha rais mwingine wa marekani ambaye aliitwa Dwight d. Eisenhower wa republican mwaka wa 67.

ni mtazamo......
 
You are totally wrong!!! Bush is a great man and president of the century!!! I think the one put this thread is belong to Al quaida or Boko haram!! thats why he/she is against Bush but for those who understand clearly the plans for Islam extrimist we are happy the way GWB tried to stop evil plans to the whole world of which had it been Al quaida could have managed to take control of the world nobody could have now thinking of going to the church!!!! be carefull with people who critise Busha the are Bokoharam, Al shabab and Alqaida like.
 
Dunia iko salama zaidi kwasababu ya GWB. Achana na jamaa zetu waliokatiwa misaada na ufadhili kutoka kwa Magaidi. Hawawezi sema zuri lolote kuhusu Bush.

Dunia si salama tena kutokana na uongozi wa GWB, dunia itakuwa salama tu ikiwa hakuna mauaji yanayoendelea duniani. Kwa sasa mauaji yanaendelea Iraq kutokana legacy ya Bush. Yanaendelea Afghanistan kutokana na legacy ya Bush. Na yanaendelesa Libya kutokana na Legacy ya hao hao. Kabla ya vita Wairaq waliisi maisha ya anasa, leo asilimia zaidi ya 35 ya watoto wa Iraq wana utapiamlo. malaki ya watoto ni yatima kwa sababu mabomu ya Cruise na mengineyo yaliyokuwa yakitupwa na Wamerekani hayakuchagua nani wa kumuua. Huko Afghanistan nako si salama malaki ya watu wameuawa na majeshi ya marekani na hivyo kusababisha umasikini na mayatima waliokata tamaa, ndio hao wanaojitoa mhanga!!!
Pamoja na mapungufu ya Sadam Husein Iraq ilikuwa moja na ya amani, inaaminika zaidi ya watu 1000,0000 wamekufa wakati ya vita au baada ya vita kutokana na sababu za vita, na wanaendelea kuuawa kutokana na mabomu ya kujitoa mhanga yanayofanywa na watu waliokata tamaa ya maisha.
Baba wa taifa ni miongoni mwa watu waliopinga vita ya Iraq alipata kusema " uongo ukisemwa kwa kurudiwa rudiwa na hasa kama unasemwa na mtu mkubwa baadae watu huuamini na kuona ni kweli" Vyombo vya habari vya Magharibi vilitudanganya kuhusu vita vyote na bado vinatudanganya. Ndio maana tuliwaona wa Libya wakisherehekea kuuawa kikatili kwa Gadaffi na sasa wanajuta na kusaga meno.
Na tuombe. EE BABA WA REHEMA IDADI YA VIONGOZI WANAOTAKA KUMWAGA DAMU ZA WASIO NA HATIA INAONGEZEKA DUNIANI KWA KASI, SHETANI AMEWASHIKA MATEKA HIVYO HUTENGENEZA SABABU ZA KUHALAISHA VITA KWA MIKONO NA MANENO YAO. DUNIA SI SALAMA TENA JAPO TUNADANGANYWA NI SALAMA. TUNAKUOMBA ROHO MTAKATIFU AWASHUKIE NA KUBADILISHA MIOYO YAO.
 
Wewe hujui dunia inavyokwenda acha Bush is a great man ever in this world, ungejua Gadaffi alikuwa anafadhili vikundi vya kigaidi ndani ya miskiti Tz usingethubutu kusema, na kelekele zake za Africa moja ilikuwa atawale yeye kwanza na aimplement sharia!!! wewe hujui, njama ya Saddam, yakuteka watoto wa Bush hujui wewe, hujui WTC imeleta madhara makubwaq, hujui mabomu ya wakina Gailani na wewe naona mdogo wake gailan!!!
 
Wengi wenu mnaliangalia kikwenukwenu.. Mimi pia nilikuwa na mtazamo kama wenu,kumbe Wamarekani wengi kadiri ya uchambuzi unamrate hivyo..
 
Wewe hujui dunia inavyokwenda acha Bush is a great man ever in this world, ungejua Gadaffi alikuwa anafadhili vikundi vya kigaidi ndani ya miskiti Tz usingethubutu kusema, na kelekele zake za Africa moja ilikuwa atawale yeye kwanza na aimplement sharia!!! wewe hujui, njama ya Saddam, yakuteka watoto wa Bush hujui wewe, hujui WTC imeleta madhara makubwaq, hujui mabomu ya wakina Gailani na wewe naona mdogo wake gailan!!!

ficha upumbavu wako ndugu. Huyo MG angeiplement sharia ambayo hata wakati wa miaka 42 ya uongozi wake Libya haikuwepo?
Prove me wrong then, ni lini Libya iliongozwa kwa shariah?
 
Back
Top Bottom