Why I am Not A Christian - Bertrand Russell

Wapi?

Ulishawahi kumuona?

Hakuna mtu aliyepata kumwona- 1 Timotheo 6:16.

Mungu ni roho na ukimuabudu katika roho na kweli utamuona tu.


Ukifikiria kuzaliwa kwako na kufa kwako, lazima tu uamini uwepo wa Mungu.

Najua kuna watu hapa wataleta mambo ya biology ili kubisha.

Hebu tafakari jinsi ulivyokuja hapa duniani na jinsi utakavyoondoka hapo ndipo utapata uhakika kwamba Mungu yupo.
 
Kwa nini usionyeshe jinsi "reason" ya Pundit ilivyo ndogo kwa kuzipangua hoja zake na kuzipanga za kwako badala tu ya kuishia kusema "Reason yako ni ndogo sana pundit" Huonyeshi udogo wa "reason" ya Pundit kwa kusema hivyo tu. Sana sana unaonyesha wewe jinsi usivyo na uwezo wa kuzipangua hoja zake.


Kuna tofauti kati ya hoja na madai.

Pundit ameweka madai na si hoja.
 
Kwa nini usionyeshe jinsi "reason" ya Pundit ilivyo ndogo kwa kuzipangua hoja zake na kuzipanga za kwako badala tu ya kuishia kusema "Reason yako ni ndogo sana pundit" Huonyeshi udogo wa "reason" ya Pundit kwa kusema hivyo tu. Sana sana unaonyesha wewe jinsi usivyo na uwezo wa kuzipangua hoja zake.

Niliweka hii reply: Nayo inaoneka tatizo ni lilelile, collective knowledge.

Kama umemsoma Aristote katika Metaphysics (c 384-322B.C) ,
Aristote developed the idea of a creator of the cosmos, often referred to as the "Prime Mover"

Are you telling me that Aristote katika metaphysics was wrong and you are correct?

Unaona ninapo weka vitu jamaa yenu anakimbia na kuanza blah blah blah? Hii hoja hakuigusa wala sogelea.

Nilipo mtumia plato ku crash mada yake, alishindwa kujuwa ni nini nasema nakufikria kinyume, hapo nikajuwa kuwa PUNDIT si lolote wala chochote.

Sasa siwezi kutumia muda kufundisha mtu ambaye anadai yeye ni mjuwaji.
 
It is very very clear that, there is nothing in science or in methodological naturalism that requires the rejection of a creator; on the contrary, science and/or philosophy makes no attempt to prove or disprove the existence of a deity, because it can't.

Furthermore, there is no experiment either in science or philosophy that can conclusively answer that question of "PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST.
 
Niliweka hii reply: Nayo inaoneka tatizo ni lilelile, collective knowledge.

Kama umemsoma Aristote katika Metaphysics (c 384-322B.C) ,
Aristote developed the idea of a creator of the cosmos, often referred to as the "Prime Mover"

Are you telling me that Aristote katika metaphysics was wrong and you are correct?

Unaona ninapo weka vitu jamaa yenu anakimbia na kuanza blah blah blah? Hii hoja hakuigusa wala sogelea.

Nilipo mtumia plato ku crash mada yake, alishindwa kujuwa ni nini nasema nakufikria kinyume, hapo nikajuwa kuwa PUNDIT si lolote wala chochote.

Sasa siwezi kutumia muda kufundisha mtu ambaye anadai yeye ni mjuwaji.

Mbona nilishakuambia kwamba Russell kairarua point ya Prime Mover? Na hujamsoma na kuuliza kipya.

Mbona nimekueleza vizuri jinsi ulivyojishoot yourself in the foot kwa kumtumia Plato ambaye haamini katika mungu wako mweza yote? We mbona unabisha kinazi?
 
Mbona nilishakuambia kwamba Russell kairarua point ya Prime Mover? Na hujamsoma na kuuliza kipya.

Mbona nimekueleza vizuri jinsi ulivyojishoot yourself in the foot kwa kumtumia Plato ambaye haamini katika mungu wako mweza yote? We mbona unabisha kinazi?

Tatizo lake nikwamba ni lugha ndio inayomsumbua.

Anaweza kukopi hata vitu ambavyo vinamshoot mwenyewe.

TATIZO LA KUKOPI BILA KUFANYIA TATHIMINI.

Hizo hapo juu nimeziweka makusudi.

Zitamuweka mtu kwenye kitanzi
 
Tatizo lake nikwamba ni lugha ndio inayomsumbua.

Anaweza kukopi hata vitu ambavyo vinamshoot mwenyewe.

TATIZO LA KUKOPI BILA KUFANYIA TATHIMINI.

Hizo hapo juu nimeziweka makusudi.

Zitamuweka mtu kwenye kitanzi
Haya mjuwaji, lete burdani

It is very very clear that, there is nothing in science or in methodological naturalism that requires the rejection of a creator; on the contrary, science and/or philosophy makes no attempt to prove or disprove the existence of a deity, because it can't.

Furthermore, there is no experiment either in science or philosophy that can conclusively answer that question of "PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST.
 
Mbona nilishakuambia kwamba Russell kairarua point ya Prime Mover? Na hujamsoma na kuuliza kipya.

Mbona nimekueleza vizuri jinsi ulivyojishoot yourself in the foot kwa kumtumia Plato ambaye haamini katika mungu wako mweza yote? We mbona unabisha kinazi?


Plato inaonekana anakuumiza kichwa wewe mwenyewe, umeshindwa kujuwa nini nilikuwa nasema na swali langu linahusu nini.

Kaazi kweli kweli,
 

Plato inaonekana anakuumiza kichwa wewe mwenyewe, umeshindwa kujuwa nini nilikuwa nasema na swali langu linahusu nini.

Kaazi kweli kweli,

Plato inaonekana hujamuelewa wewe, umeshindwa kujua kwamba Plato haamini kwamba mungu anaweza ku create something out of nothing.

Mungu wa kikristo anaweza yote, obviously mungu anayemuamini Plato si wa kikristo na mungu wa kikristo uliyemleta Plato hamuamini.Sasa wewe unamleta Plato kama jiwe lako wakati jiwe lenyewe limambonda mungu wako?

Speaking of jiwe, mungu wa kikristo anaweza kutengeneza jiwe lililo zito kiasi kwamba ashindwe kulibeba?

Jibu maswali ninayouliza, sio unarukaruka tu.
 
Plato inaonekana hujamuelewa wewe, umeshindwa kujua kwamba Plato haamini kwamba mungu anaweza ku create something out of nothing.

Mungu wa kikristo anaweza yote, obviously mungu anayemuamini Plato si wa kikristo na mungu wa kikristo uliyemleta Plato hamuamini.Sasa wewe unamleta Plato kama jiwe lako wakati jiwe lenyewe limambonda mungu wako?

Speaking of jiwe, mungu wa kikristo anaweza kutengeneza jiwe lililo zito kiasi kwamba ashindwe kulibeba?

Jibu maswali ninayouliza, sio unarukaruka tu.

Plato anaamini Mungu? Hivi kuna Mungu?
 
Plato anaamini Mungu? Hivi kuna Mungu?


Unaonyesha ufinyu wa kufikiri.

Nikisema "mungu anayemuamini Plato" haina maana kuna mungu.

Watoto wanaamini Santa Claus anakaa north pole, je hiyo ina maana kuna Santa Claus anakaa north pole?

Hata comprehension nayo tabu?

Yaani unakuwa lower than I ever thought you would be.
 
Bluray hii mada ni pasua kichwa. Ninachofahamu mimi ni kwamba neno "Mungu" kila mtu analitafsiri kivyake kulingana na uelewa unaotokana na mazingira yake. Ukristo na Uislam zote ni dini ambazo hazina umri wa zaidi ya miaka 2000,tujiulize kabla ya hapo na kwa kuwa binadamu wamekuwepo miaka mingi tu je baada ya kufariki nini kilikuwa kinawatokea (maana ndo zinafundisha hell na heaven),nauliza hivi kwa sababu Yesu alisema "mimi ndio njia na uzima,mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya mimi",sawa tumkubalie,lakini je waliotangulia mbele ya haki kabla Bwana Yesu hajaanza kufundisha walikwenda wapi? Bluray,msingi wa dini ni imani na siku zote imani huwa inaishia pale mtu anapoanza kufikiri,faith na thinking ni maji na mafuta! Russel utaona katika conclusion yake anataka binadamu wafikiri badala ya kuamini,sasa kama ni hivyo Russel atueleze kufikiri na morals (mpende jirani yako etc) vinaendana? Binafsi naona dini zina nafasi yake katika jamii na kufikiri kuna nafasi pia,kikubwa ni kubalance badala ya kufuata kila kitu eti kwa sababu Padre au Sheikh kasema maana tukifanya hivyo tutaishia kujilipua mabomu eti tunatetea Uislam au kujishindilia misumari eti tunakumbuka mateso ya Yesu na on the other side tuki fikiri sana tutaona hata kubaka ni sawa tu kwa kuwa mwili umekuwa na matamanio!
 
You are weekend homework summarize the arttilcle so that we can discuss on monday
 
Bluray hii mada ni pasua kichwa. Ninachofahamu mimi ni kwamba neno "Mungu" kila mtu analitafsiri kivyake kulingana na uelewa unaotokana na mazingira yake. Ukristo na Uislam zote ni dini ambazo hazina umri wa zaidi ya miaka 2000,tujiulize kabla ya hapo na kwa kuwa binadamu wamekuwepo miaka mingi tu je baada ya kufariki nini kilikuwa kinawatokea (maana ndo zinafundisha hell na heaven),nauliza hivi kwa sababu Yesu alisema "mimi ndio njia na uzima,mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya mimi",sawa tumkubalie,lakini je waliotangulia mbele ya haki kabla Bwana Yesu hajaanza kufundisha walikwenda wapi? Bluray,msingi wa dini ni imani na siku zote imani huwa inaishia pale mtu anapoanza kufikiri,faith na thinking ni maji na mafuta! Russel utaona katika conclusion yake anataka binadamu wafikiri badala ya kuamini,sasa kama ni hivyo Russel atueleze kufikiri na morals (mpende jirani yako etc) vinaendana? Binafsi naona dini zina nafasi yake katika jamii na kufikiri kuna nafasi pia,kikubwa ni kubalance badala ya kufuata kila kitu eti kwa sababu Padre au Sheikh kasema maana tukifanya hivyo tutaishia kujilipua mabomu eti tunatetea Uislam au kujishindilia misumari eti tunakumbuka mateso ya Yesu na on the other side tuki fikiri sana tutaona hata kubaka ni sawa tu kwa kuwa mwili umekuwa na matamanio!

Very clear thinking, very valid concerns.

Nafikiri faith inatulemaza tufikiri kwamba hatuwezi kuwa moral for goodnes sake. Moreover faith, hata kama ina play a good role, role hii inaharibiwa na its fraudulent nature (kwangu mimi nisiyeamini) halafu inatuuzia fantasy ya kutu bribe na mbingu, "kuwa mtoto mzuri nitakuletea pipi" style, mwishowe mtoto ukishamzoesha kwamba kuwa mzuri ni means ya kupata pipi ana devalue kuwa mzuri for kuwa mzuri's sake na anaona kuwa mzuri is just a means to get to heaven / kupata pipi.

this is what is happenning currently in the Judeo-Christioan system, watu wanaacha kutoa kwa sababu kumsaidia mwenzako ni vizuri, wanatoa kwa sababu mungu ana keep score, na usipotoa utaenda motoni, which is a lie of course, kwa hiyo kwa kutoa selfishly wana demean real value ya kutoa.

Mimi nafikiri mwanadamu ana potential kubwa ya kuwa moral, just from reason, it is even in our own interest to be moral and there is nothing that works better with humanity than self interest. It is even better when this self interest can be perpetuated by genuine altruism.

Kwa hiyo faith kwanza inatulemaza, hata kama inatusaidia mimi naona iko fraudulent, na mara nyingine ni vizuri kuishi na ukweli mbaya kuliko uongo mzuri.


Kuzungumzia the merits/ demerits of faith per se, and as a means towards greater good, without examining whether the structure on which that faith is built is legitimate or fraudulent is very unfortunate.

This same argument is used by totalitarian regimes to oppress it's people in the name of greater good and such concepts as "national security" by which great lies are kept alive.

The churches and the intelligentsia/ illuminati are basically doing the same thing, by using the name of god.I even had one respectable church elder admit to me that "god was too important an invention not to be invented" in other words, god is not real but he serves such an important purpose, namely to keep order and give hope and meaning to life, that it became very necessary to invent him. This same person went on to say that the most learned of men, especially men of the cloth, popes, bishops, statesmen etc are simply too versed in theology to not know that god does not exist, they know that god does not exist, but they want to continue with this lie just to keep tradition and maintain order.The most learned people who know that god does not exist cannot imagine a godless earth simply because they are underestimating the ability of humans to do good therefore they support this god fraud.

I think the human race has reached a point where it can gradually start to appreciate that god is a fictitious character, and that we humans have the ability to do good for goodness sake, and that even if we can't, a bad truth is better than a good lie.

Truth should be paramount, and not subject to the machinations of the intelligentsia and men of the cloth.
 
You are weekend homework summarize the arttilcle so that we can discuss on monday

This guy not only did not read the article, which is a summary of the philosophy of western religion in itself, but apparently did not even bother to look for the summary of the article posted in this very thread from similar requests, so in essence, he read neither the summary nor the summary of the summary, or is he referring to the the summary of the summary and now is asking for the summary of the summary of the summary?
 
Unaonyesha ufinyu wa kufikiri.

Nikisema "mungu anayemuamini Plato" haina maana kuna mungu.

Watoto wanaamini Santa Claus anakaa north pole, je hiyo ina maana kuna Santa Claus anakaa north pole?

Hata comprehension nayo tabu?

Yaani unakuwa lower than I ever thought you would be.

Do you mean that there is no other word to use, mpaka usema Mungu wa Plato? No other word on earth?

Unaleta hoja ya watoto, Santa, blah blah blah, do you see unavyo onyesha ufinyu wa akili? What you did here is comparing your self na Watoto. Wewe umeleta issue ya Mungu wa Plato, na wewe huyo huyo unaleta issue wa Watoto. Very very very funny.

Hha ahaha ahaha ahhaa a a a a a a, I just don't know truly if you know what you write.

I said in one of my prior reply, that, don't use collective memory, au ndio mental ex nihilo and/or yesh m'eiyan?
 
Do you mean that there is no other word to use, mpaka usema Mungu wa Plato? No other word on earth?

Unaleta hoja ya watoto, Santa, blah blah blah, do you see unavyo onyesha ufinyu wa akili? What you did here is comparing your self na Watoto. Wewe umeleta issue ya Mungu wa Plato, na wewe huyo huyo unaleta issue wa Watoto. Very very very funny.

Hha ahaha ahaha ahhaa a a a a a a, I just don't know truly if you know what you write.

I said in one of my prior reply, that, don't use collective memory, au ndio mental ex nihilo and/or yesh m'eiyan?

Incoherent gibberish,

Kwa hiyo unataka kusema mtu yeyote anayesema "Mungu wa Plato" anaamini katika mungu huyo? What is teh point of saying "Mungu wa Plato" then? Kama mtu anamuamini mungu kwa nini asiseme tu mungu? Kwa kusema "Mungu wa Plato" huoni kwamba huyu mtu ana ji dis-associate na belief kwenye huyu mungu?

Nikisema "rais wenu" huoni kwamba mimi nataka kuji dis-associate na huyu rais?

You are either a very dim bulb, or an extremely irredeemable fanatic usiye na interest na uchunguzi, bali kupinga kwa hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja.

Nimekuuliza miswali lukuki mpaka sasa hujajibu, I suspect huwezi kujibu kwa sababu ubongo wako hauwezi kufikiri that deep.
 
Incoherent gibberish,

Kwa hiyo unataka kusema mtu yeyote anayesema "Mungu wa Plato" anaamini katika mungu huyo? What is teh point of saying "Mungu wa Plato" then? Kama mtu anamuamini mungu kwa nini asiseme tu mungu? Kwa kusema "Mungu wa Plato" huoni kwamba huyu mtu ana ji dis-associate na belief kwenye huyu mungu?

Nikisema "rais wenu" huoni kwamba mimi nataka kuji dis-associate na huyu rais?

You are either a very dim bulb, or an extremely irredeemable fanatic usiye na interest na uchunguzi, bali kupinga kwa hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja.

Nimekuuliza miswali lukuki mpaka sasa hujajibu, I suspect huwezi kujibu kwa sababu ubongo wako hauwezi kufikiri that deep.

I know you are frustrated. Bado unaleta garbage kibao.

Why use a word which has no meaning? What is God?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom