Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Kwa maana jinsi hii Mungu aliipenda Tanzania, hata akamtuma Dr Slaa (a.k.a Silaha ya maangamizi) ili kila mtanzania atakayemkubali na kumchagua katika uchaguzi wa rais mwaka huu 2010 apate ukombozi wa kweli, kuondokana na dhuluma na ufisadi. Ni zamu ya CCM kuaga, tumeonewa na kukandamizwa kiasi cha kutosha. Kwa miaka mingi sasa patakatifu (ikulu) pamekuwa kituo kikuu cha usanii na siasa za 'matumbo'. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Dr. Slaa. Chagua Dr.Slaa chagua Chadema!!!