Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Wa kwaanza ni wa kujifunzia tu...anaweza kuwa h/girl!..sasa utamwoa vp?
Ukishakuwa expert, then u may think of finally marrying!...huh!
hivi huyo haoleki?
Wa kwaanza ni wa kujifunzia tu...anaweza kuwa h/girl!..sasa utamwoa vp?
Ukishakuwa expert, then u may think of finally marrying!...huh!
hehehe!
mimi mtoto wangu wa kike kijitu kikimfanya wa ''majaribio'' nitaua mtu!........
Watoto wa uswazi wanasema unasuuza rungu tu.
hivi huyo haoleki?
MIPANGO YA MUNGU ndio inakufanya umdanganye mtoto wa mtu akuvulie chupi umjue dhen umkimbie?
mhh, karibu kwenye mpambano....lol, we mbona uliwafanya wa wenzio hivyo?.
Karibu sana jamvini luv habari ya kupotea?
Huyo anaoleka vizuri sana watu wengi wana dhana potofu ya dharau huenda mpaka kusema huyo si type yangu, dah sijui sio binadamu mpaka useme huyo si wa type yako au kwa vile hana kitu? All in all ndoa ni upendo na utu, na upendo hauna gharama kusema utanunua sijui kwa sh ngapi la hasha huwezi nunua upendo hata siku moja utaishia kununua Penzi na si upendo, upendo ni nafsi ya mtu jinsi inavyo mtuma kumpenda mtu unaweza jilazimisha kumpenda mtu kwa vile yupo hivi au vile au ana kitu flani mwisho ya siku vitu hivyo ulivyo mpendea vikatoweka na upendo ndipo unapo fika kikomo waswahili wanasema upendo wa kinafiki.
Fidel una mambo wewe....
Fidel bana ndio nini kusuuza rungu?Watoto wa uswazi wanasema unasuuza rungu tu.
@GOEFF mie leo msomaji tu labda baaadae ntapata cha kusemasio wote wamedanganywa, kuna ile unaona kabisa huyu hutaweza kuna baba watoto wangu kwa vijimambo fulani fulani, unaona kabisa huko mbeleni ni mzigo, yaani wewe unawaza a yeye anawaza x...
Fidel bana ndio nini kusuuza rungu?
Opppssssssssssssss imegusa kwenye point ila sichangiii, MyHalf asije akasoma comments zangu nikachezea KICHAPO
@GOEFF mie leo msomaji tu labda baaadae ntapata cha kusema
sasa sore ofu topiki
....Nyamayo mamiii I missed you karibu......
naona wewe una point mkuu!........1.wakati fulani firstlover atataka ajue wanaume/wanawake wengine wakoje,akionja huko analowea.
2.Aaaaaah, first lover ni mazoezi tu? mechi kwenye ndoa.Hapo kila mtu anajijua yupo fit kitendea kazi safi, sasa leta ndoa.
3.Confidence,wengine huona aibu kwa ushamba walioonyesha siku ya kwanza ya mechi, hivyo bora aingie kwenye ndoa na mtu mwingine heshima iwepo.
4.UMRI; mara nyingi mlioanza kumegana nae umri mnafananafanana ukweli ni kuwa wanandoa wengi wanapishana umri.
5.Mara nyingi firstlover TARGET pale ni MECHI TU,kila mtu kichwani mwake akammege mwenzie swala la ndoa halipo.
Karibu sana jamvini luv habari ya kupotea?
Huyo anaoleka vizuri sana watu wengi wana dhana potofu ya dharau huenda mpaka kusema huyo si type yangu, dah sijui sio binadamu mpaka useme huyo si wa type yako au kwa vile hana kitu? All in all ndoa ni upendo na utu, na upendo hauna gharama kusema utanunua sijui kwa sh ngapi la hasha huwezi nunua upendo hata siku moja utaishia kununua Penzi na si upendo, upendo ni nafsi ya mtu jinsi inavyo mtuma kumpenda mtu unaweza jilazimisha kumpenda mtu kwa vile yupo hivi au vile au ana kitu flani mwisho ya siku vitu hivyo ulivyo mpendea vikatoweka na upendo ndipo unapo fika kikomo waswahili wanasema upendo wa kinafiki.
maneno mazito hayo mkuu!........
ndo maana hapa panaitwa pa GREAT THINKERS........
naona leo umeamka na hilo neno la ''TYPE YANGU''