Why do you think it is easy to mobilize muslims for a rally than christians!!

Status
Not open for further replies.
Walioandamana Arusha walikuwa al qaeda au janjaweed au magaidi wale?
kwani wanaoandamana misri,tunisia,yemen nijanjaweed na alqaeda?soma kwamakini nilie mqoute ndio ujue maana,kaka hapa kwangu lugha yangu yataifa imelala siumi maneno ktk kiswahil na lugha kama 5 za kimataifa,usidandie treni kwambele,soma kwa makini ndio uchangie mada.
 
Kaka umegonga pale pale, wengi waliojunga 2010 kuanzia mwezi wa sita, they have very very low thinking capacity! nime-observe na wengi huwa hata sijibu maada zao, si kwa sababu ni junior members wengi hoja zao hazina mashiko, wako wako tu! phewwwwwwwwww!!!

quote_icon.png
Originally Posted by Mtanganyika
Kuanzia mwezi wa kumi 2010, JF imepata watu from every corner with either little or zero thinking capacity.This is not the JF ambayo tulipigania kwa Manumba kuiacha alone. Just an advise Tanzania need more constructive thought than this defecive ideas. We need analyze things which hurts everybody.

Aloo niliandika kama hivyo juzi hapa ,hao jamaa walikuja na mijimaneno ya ajabuajabu wakinilaani ,na hata ile mada iliondolewa na kufungiwa ,kama mtakumbuka niliandika JF na kuku wageni ,utaona kamba za miguu ,yaani sasa ufunuo umefika kuwa yale nimesema ni kweli tupu.
 
You actually know a lot less than many muslims do about the Bible, Christianity, and church history - but still call yourself a Christian :clap2:
 
Aloo niliandika kama hivyo juzi hapa ,hao jamaa walikuja na mijimaneno ya ajabuajabu wakinilaani ,na hata ile mada iliondolewa na kufungiwa ,kama mtakumbuka niliandika JF na kuku wageni ,utaona kamba za miguu ,yaani sasa ufunuo umefika kuwa yale nimesema ni kweli tupu.

kwahiyo unashauri members wapya wa JF wasichangie.....au unashauri new members wasijiunge na JF.... mbakie nyinyi members wa zamani tu....hayo ndiyo muhimu au ndio wale wale ingawa wamo siku nyingi.... mbona wewe unahoja nyingi sana zenye upupu na uzushi wa hali ya juu...lakini watu wanazijibu ki upupu upupu hivyo hivyo....au ungependa kuwa supported wakati wengi humu wana mrengo fulani kama ikiwa kama haki yao...pia wewe unaweza kuwa na support ya wenye mrengo fulani hakuna shida

nadhani unatafuta sympathy pasipo uhalali
 
Wakristo wanapata vyote tena na ziada so hawana malalamiko!

Misamaha ya kodi wanavuta, misaada kutoka vatican (no barriers), MoU ya serikali kupeleka remmitence millions kila mwaka wanavuta!

Nafasi za uongozi serikalini, mashirika ya umma over represented (80%) kwa ufupi wana kula kuku kwa mrija

Waandamane nini?

Topical,

Ama kweli hizi ndo tunaita LOW THINKING CAPACITY!

Kama Waislamu ni rahisi kuji-mobilize KUANDAMANA MNANGOJA NINI KUANDAMANA?Acheni visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu.
HIVI JUZI KWENYE YALE MAANDAMANO YA ARUSHA KULIKUWA NA WAISLAMU WANGAPI? NINACHOJUA BAADA YA MAANDAMANO NA MAUJAI YA POLISI KWA WANDAMANAJI KILICHOFUATA ILIKUWA NI TAMKO LA MASHEIKH WAISLAMU WAKILAANI MAANDAMANO NA TAMKO LA MAASKOFU!

NASEMA HIVI: KWA WAISLAMU WA-BONGO HAMNA HUO UJASIRI WA KUWEZA KUANDAMANA,AKILI ZENU ZIKO CHINI SANA KATIKA KUCHUJA NA KUCHAMBUA MAMBO. NI WAISLAMU WA TUNISIA,MISRI,YEMENI NA NCHI ZINGINE ZA KIARABU NDIYO WANAOJUA MAMBO SIYO WAISLAMU WA TANZANIA BANA. UKWELI NI KWAMBA WAISLAMU WA TANZANIA MMULISHAFULIA SIKU NYINGI HAMNA MADA MNAYOWEZA KUISIMAMIA ZAIDI YA KULALAMIKA MISIKITINI NA VIJIWENI TU KUWA HAMPEWI NAFASI ZA UBUNGE,U-DC,U-RC,UWAZIRI n.k. PAMOJA NA KWAMBA RAIS NA MAKAMI WAKE NI WAISLAMU KWA BARA NA VISIWANI. KAMA HAMRIDHIKI MNANGOJA NINI KUANDAMANA KAMA KULE TUNISIA NA MISRI????????????

Tumeshawaambia mara kadhaa kuwa SOMENI ELIMU DUNIA ili mpate ufahamu wa mambo BADALA YA KUNG'ANG'ANIA MADRAS!
ANGALIENI MATOKEO YA KIDATO CHA IV-2010,HAKUNA HATA SHULE MOJA YA KIISLAMU ILIYOONGOZA KITAIFA!KWANINI????
KAENI MJIULIZE NA JOPO LENU LA MASHEIKH WENYE KUTOIA MATAMKO YENYE UTATA?WAULIZENI KWANINI SHULE ZENU HAZIFAULISHI WANAFUNZI??

Please acheni longolongo. Leteni mada zenye mashiko na siyo kulalamika kama wanawake waliopewa talaka tatu!!!!!
 
Waislam au Wakristo wote walishachukia sana, wote walisha kuwa ‘mobilized & organized' wakaandamana sana, wote walisha pigana vita sana (rejea historia ya jihad & crusades duniani) zilizoleta maafa makubwa. Je unajua kuwa hata Wakristo hususani (RC) waliwahi kuwa mobilized & organized huko Ulaya na kupigana kwa muda wa miaka 200 kurejesha utawala wao katika ‘nchi takatifu?'

Ukweli ni kwamba:

I.Kama asilimia kubwa ya Wananchi ni wa dhehebu X na ikawa Wananchi wote kwa umoja wao hawaridhiki na utawala uliopo, si ajabu ikitokea maasi wahusika wengi watakuwa ni wa dini X.
Mf. Tunisia, Waislam yapata 78%; Misri , Waislamu yapata 90%. Kenya, Wakristo yapata 78%, Zimbabwe Wakristo yapata 70% hivyo kama ungekuwa na kipimo kujua wapinzani wa Serikali wakati wa uchaguzi katika sehemu nilizozitaja si ajabu kukuta wengi ni Waislamu au Wakristo kutokana na wingi wao katika jamii hiyo.

II.Kama wanaoonewa au kuhisi kuonewa ni wa dehebu Y zaidi kuliko madhehebu mengine, si ajabu kukuta wanaharakati na wapinzani wa utawala uliopo wakawa kutoka dhehebu Y.
Mfano pamoja na kwamba Wakristo ni yapata 05% huko Sudani wengi wao ndio wamekuwa wakipinga na kutaka haki zao hadi kuamua kujitenga na wa Kaskazini ambao wengi wao ni Waislamu.
Vile vile Waislam ambao ni yapata 16% huko Israel ndio wanaoonewa na hivyo si ajabu kuwa kila wakati wanatafuta kujiorganise kupinga manyanyaso ya wafuasi wa dini ya Kiyahudi ambao ni yapata 76%.

The question, 'Why do you think it is easy to mobilize Muslims for a rally than Christians!!' Is just fallacious of hasty induction.
Na hivyo, kama swali limekosewa kutungwa halitapata jibu na kinyume chake watu sasa wamegeuka kutukanana na kuonyeshana nani mzee katika JF mambo yasiyo na tija.
Migomo, Maandamano na Maasi ya Umma hayasukumwi na aina ya dini bali zaidi aina ya uonevu uliokithiri.
 
Mimi nachojua kutokana na ufahamu wangu nikwamba waislam wameathirika kisaikorojia na dini yao!niraisi kuwamobilize kwa maneno yakidini angaliahata ktk nchizenye uislam mkubwa maandamano yakiwa yakisiasa lazima waweke udini mbele wao kilakitu lazima kianze nasalahapo ndipo uanzia nakufanya maandamano yote kupoteza maana nakuwa kama yakidini wakati yalikuwa ya kisiasa.
 
You actually know a lot less than many muslims do about the Bible, Christianity, and church history - but still call yourself a Christian :clap2:

Mmeacha kusoma kitabu chenu kinachotumiwa pia na majini badala yake mnasoma na Biblia Takatifu!!! Loo, wapuuzi kweli ninyi. Kwa nini msiendelee na dini yenu hiyo mnayo-share na majini? Ni bahati iliyo njema kuwa Shekhe Yahaya amefunua uhusiano uliopo kati ya imani hiyo na tunguli.
 
Topical,

Ama kweli hizi ndo tunaita LOW THINKING CAPACITY!

Kama Waislamu ni rahisi kuji-mobilize KUANDAMANA MNANGOJA NINI KUANDAMANA?Acheni visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu.
HIVI JUZI KWENYE YALE MAANDAMANO YA ARUSHA KULIKUWA NA WAISLAMU WANGAPI? NINACHOJUA BAADA YA MAANDAMANO NA MAUJAI YA POLISI KWA WANDAMANAJI KILICHOFUATA ILIKUWA NI TAMKO LA MASHEIKH WAISLAMU WAKILAANI MAANDAMANO NA TAMKO LA MAASKOFU!

NASEMA HIVI: KWA WAISLAMU WA-BONGO HAMNA HUO UJASIRI WA KUWEZA KUANDAMANA,AKILI ZENU ZIKO CHINI SANA KATIKA KUCHUJA NA KUCHAMBUA MAMBO. NI WAISLAMU WA TUNISIA,MISRI,YEMENI NA NCHI ZINGINE ZA KIARABU NDIYO WANAOJUA MAMBO SIYO WAISLAMU WA TANZANIA BANA. UKWELI NI KWAMBA WAISLAMU WA TANZANIA MMULISHAFULIA SIKU NYINGI HAMNA MADA MNAYOWEZA KUISIMAMIA ZAIDI YA KULALAMIKA MISIKITINI NA VIJIWENI TU KUWA HAMPEWI NAFASI ZA UBUNGE,U-DC,U-RC,UWAZIRI n.k. PAMOJA NA KWAMBA RAIS NA MAKAMI WAKE NI WAISLAMU KWA BARA NA VISIWANI. KAMA HAMRIDHIKI MNANGOJA NINI KUANDAMANA KAMA KULE TUNISIA NA MISRI????????????

Tumeshawaambia mara kadhaa kuwa SOMENI ELIMU DUNIA ili mpate ufahamu wa mambo BADALA YA KUNG'ANG'ANIA MADRAS!
ANGALIENI MATOKEO YA KIDATO CHA IV-2010,HAKUNA HATA SHULE MOJA YA KIISLAMU ILIYOONGOZA KITAIFA!KWANINI????
KAENI MJIULIZE NA JOPO LENU LA MASHEIKH WENYE KUTOIA MATAMKO YENYE UTATA?WAULIZENI KWANINI SHULE ZENU HAZIFAULISHI WANAFUNZI??

Please acheni longolongo. Leteni mada zenye mashiko na siyo kulalamika kama wanawake waliopewa talaka tatu!!!!!

Duu mzee, naona umeamua kukamua nyongo kwelikweli. Haya majitu imefika mahali tuyaambie ukweli. Wakikutana kwenye misikiti yao ni kulalama tu badala ya kuswali (siyo kusali). Wengi wao ni wafanyabiashara wenye utajiri wa kutosha. Lakini ukiwaambia wajitokeze kwenye harambee ya kuchangia elimu hawajitokezi. Ikitokea bahati nzuri wakijitokeza, wanachangia Sh. 10,000. Tusipoteze muda, tuachane nao haop!!
 
quote_icon.png
Originally Posted by Waberoya
Kaka umegonga pale pale, wengi waliojunga 2010 kuanzia mwezi wa sita, they have very very low thinking capacity! nime-observe na wengi huwa hata sijibu maada zao, si kwa sababu ni junior members wengi hoja zao hazina mashiko, wako wako tu! phewwwwwwwwww!!!





quote_icon.png
Originally Posted by Mtanganyika
Kuanzia mwezi wa kumi 2010, JF imepata watu from every corner with either little or zero thinking capacity.This is not the JF ambayo tulipigania kwa Manumba kuiacha alone. Just an advise Tanzania need more constructive thought than this defecive ideas. We need analyze things which hurts everybody.



Aloo niliandika kama hivyo juzi hapa ,hao jamaa walikuja na mijimaneno ya ajabuajabu wakinilaani ,na hata ile mada iliondolewa na kufungiwa ,kama mtakumbuka niliandika JF na kuku wageni ,utaona kamba za miguu ,yaani sasa ufunuo umefika kuwa yale nimesema ni kweli tupu.


Basi kuanzia sasa mkiandika mada mseme kabisa kuwa watu waliojiunga kutoka kipindi fulani hadi kipindi fulani ndo wachangie, wengine no.

Vilevile mnapopanga masuala kama ya maandamano msitafute sapoti ya watu wengine zaidi ya ninyi maveterani ku......yo zenu.
 
wanaJF naona imefika wkt sasa wa kutowaona wanojiunga karibuni hawana upeo wa kufikiri.Haya ni mawazo finyu na hasi. Kuwahi kujiunga haimaanishi unajua zaidi yawezekana aliejiunga hata elo asbh anajua zaidi yako> si vema kujionaunajua zaidi kwa vile umejiunga JF zamani.Huu ni mtandao wa wanajamii.KUna watu humu CV zao zinatisha lakini hawajigambi au kuwasuta wenzao wao wanaupeo wa kujibu kwa upole na uelewa zaidi.tusiwe kama form 2 anaemwona mwenzake wa form 1 kama njuka wkt ndo kwanza hajajua hata maana ya umuhimu wa kuwa shuleni yeye anaringia kuwa kwake form 2. Kuhusu mada yetu waislamu kutokana na imani yao hawapendi kuonewa hata kidogo na wanajua kupigani haki yao mpaka mwisho wkt wkristo wana roho woga na wanaambiwa wasamehe 7 mara 70 au ukipigwa shavu la kushoto mgeuzie la kulia.nawapongeza waislamu wako juu ktk kutetea haki zao.
 
Topical,

Ama kweli hizi ndo tunaita LOW THINKING CAPACITY!

Kama Waislamu ni rahisi kuji-mobilize KUANDAMANA MNANGOJA NINI KUANDAMANA?Acheni visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu.
HIVI JUZI KWENYE YALE MAANDAMANO YA ARUSHA KULIKUWA NA WAISLAMU WANGAPI? NINACHOJUA BAADA YA MAANDAMANO NA MAUJAI YA POLISI KWA WANDAMANAJI KILICHOFUATA ILIKUWA NI TAMKO LA MASHEIKH WAISLAMU WAKILAANI MAANDAMANO NA TAMKO LA MAASKOFU!

NASEMA HIVI: KWA WAISLAMU WA-BONGO HAMNA HUO UJASIRI WA KUWEZA KUANDAMANA,AKILI ZENU ZIKO CHINI SANA KATIKA KUCHUJA NA KUCHAMBUA MAMBO. NI WAISLAMU WA TUNISIA,MISRI,YEMENI NA NCHI ZINGINE ZA KIARABU NDIYO WANAOJUA MAMBO SIYO WAISLAMU WA TANZANIA BANA. UKWELI NI KWAMBA WAISLAMU WA TANZANIA MMULISHAFULIA SIKU NYINGI HAMNA MADA MNAYOWEZA KUISIMAMIA ZAIDI YA KULALAMIKA MISIKITINI NA VIJIWENI TU KUWA HAMPEWI NAFASI ZA UBUNGE,U-DC,U-RC,UWAZIRI n.k. PAMOJA NA KWAMBA RAIS NA MAKAMI WAKE NI WAISLAMU KWA BARA NA VISIWANI. KAMA HAMRIDHIKI MNANGOJA NINI KUANDAMANA KAMA KULE TUNISIA NA MISRI????????????

Tumeshawaambia mara kadhaa kuwa SOMENI ELIMU DUNIA ili mpate ufahamu wa mambo BADALA YA KUNG'ANG'ANIA MADRAS!
ANGALIENI MATOKEO YA KIDATO CHA IV-2010,HAKUNA HATA SHULE MOJA YA KIISLAMU ILIYOONGOZA KITAIFA!KWANINI????
KAENI MJIULIZE NA JOPO LENU LA MASHEIKH WENYE KUTOIA MATAMKO YENYE UTATA?WAULIZENI KWANINI SHULE ZENU HAZIFAULISHI WANAFUNZI??

Please acheni longolongo. Leteni mada zenye mashiko na siyo kulalamika kama wanawake waliopewa talaka tatu!!!!!

Mie naongezea. Muslims never think big. They only think violently n suppressed. Infact they r lazy.
 
Someni historia,
Ooops....not all Europeans were Christians.

The European Revolutions of 1848, known in some countries as the Spring of Nations, Springtime of the Peoples[3] or the Year of Revolution, were a series of political upheavals throughout Europe. Described by some historians as a revolutionary wave, the period of unrest began in France and then, further propelled by the French Revolution of 1848, soon spread to the rest of Europe.
Although most of the revolutions were quickly put down, there was a significant amount of violence in many areas, with tens of thousands of people tortured and/or killed. While the immediate political effects of the revolutions were largely reversed, the long-term reverberations of the events were far-reaching.
Alexis de Tocqueville remarked in his Recollections of the period that "society was cut in two: those who had nothing united in common envy, and those who had anything united in common terror.

Exceptions

Great Britain, the Netherlands, the Russian Empire (including Congress Poland), and the Ottoman Empire were the only major European states to go without a national revolution over this period. Sweden and Norway were little affected. Serbia, though formally unaffected by the revolt, actively supported the Serbian revolution in the Habsburg Empire.[5]

Chanzo

Kumbuka Ottoman empire ilikuwa chini ya waislam...I mean Muslims and not Arabs.

When I come across with these kinda stuff....I take as a challenge..helps me to re-shape.....but guys just stay tuned....the true,committed,sincerely practicing muslims are coming....the islam is reaching every corner of the world...and it's just around the corner t take over

It seemed and always be seemed as a strange..but always the strangers are given glad tidings.

By the way,,,I support toppling down the corrupt regimes but I dont support the way used as it brings chaos,damage,fear...loss of innocent blood all of which islam forbids.
 
Someni historia,
Ooops....not all Europeans were Christians.





Chanzo

Kumbuka Ottoman empire ilikuwa chini ya waislam...I mean Muslims and not Arabs.

When I come across with these kinda stuff....I take as a challenge..helps me to re-shape.....but guys just stay tuned....the true,committed,sincerely practicing muslims are coming....the islam is reaching every corner of the world...and it's just around the corner t take over

It seemed and always be seemed as a strange..but always the strangers are given glad tidings.

By the way,,,I support toppling down the corrupt regimes but I dont support the way used as it brings chaos,damage,fear...loss of innocent blood all of which islam forbids.

Chanzo cha habari hiyo ni muhimu. Isije ikawa tunaletewa mambo ya kupikwa kwa lengo la kupaka mafuta hoja ya mchangiaji.
 
Chanzo cha habari hiyo ni muhimu. Isije ikawa tunaletewa mambo ya kupikwa kwa lengo la kupaka mafuta hoja ya mchangiaji.

Kong'oli hapo nilopoandika chanzo,

European revolution mbona ni maarufu sana...na ndio iliyowapa ile adabu waliyokuwa nayo sasa hivi.
 
Gosbert ujue kinachofanyaga hadi mtu anaamua kuingia ktk hizi kitu ni uelewa wake na ni kiasi gani hayn mambo yanamgusa. Kwa muslim swala la kudhihaki uislam anahaki ya kukuua na ni thawabu kwa mumgu wake ila kwa christian hata uki2kana dini yake hawezi kuua coz biblia imesema usiue. Hvo to mobilize a rally response yake inategemea sana ustaarabu wa m2 na jinsi tatzo linavomgusa mtu.
 
Whole World needs A Leader like This!


Prime Minister Kevin Rudd - Australia
Muslims who want to live under Islamic Sharia law were told on Wednesday to get out of Australia, as the government targeted radicals in a bid to head off potential terror attacks..
Separately, Rudd angered some Australian Muslims on Wednesday by saying he supported spy agencies monitoring the nation's mosques. Quote:

'IMMIGRANTS, NOT AUSTRALIANS, MUST ADAPT. Take It Or Leave It. I am tired of this nation worrying about whether we are offending some individual or their culture. Since the terrorist attacks on Bali, we have experienced a surge in patriotism by the majority of Australians. '
'This culture has been developed over two centuries of struggles, trials and victories by millions of men and women who have sought freedom'
'We speak mainly ENGLISH, not Spanish, Lebanese, Arabic, Chinese, Japanese, Russian, or any other language. Therefore, if you wish to become part of our society. Learn the language!'
'Most Australians believe in God. This is not some Christian, right wing, political push, but a fact, because Christian men and women, on Christian principles, founded this nation, and this is clearly documented. It is certainly appropriate to display it on the walls of our schools. If God offends you, then I suggest you consider another part of the world as your new home, because God is part of our culture.'
'We will accept your beliefs, and will not question why. All we ask is that you accept ours, and live in harmony and peaceful enjoyment with us.'
'This is OUR COUNTRY, OUR LAND, and OUR LIFESTYLE, and we will allow you every opportunity to enjoy all this. But once you are done complaining, whining, and griping about Our Flag, Our Pledge, Our Christian beliefs, or Our Way of Life, I highly encourage you take advantage of one other great Australian freedom, 'THE RIGHT TO LEAVE'.'

'If you aren't happy here then LEAVE. We didn't force you to come here. You asked to be here. So accept the country YOU accepted.'

Maybe if we circulate this amongst ourselves, WE will find the courage to start speaking and voicing the same truths.
If you agree please SEND THIS ON and ON to as many people as you know.
 
Nadhani umefika wakati watu wenye dhamana ya kusimamia vision ya JF kuiweka wazi zaidi ili sote tukumbuke hasa umuhimu wa hili jukwaa. Nimeshawishika kuamini kuwa pamoja na mambo mengine, JF ni jukwaa la kufanya dialogue ili kusaidia kufikia muafaka wa kitaifa pamoja na tofauti zetu za imani,kipato,elimu,mawazo,tamaduni n.k.

Mijadala inayohusu imani zetu tofauti ina maana tu hasa pale inapotafuta compromise, tolerance & reconciliation. Isiwe ni kunyoosheana vidole,matusi na kejeli kwani mwisho wa siku ni mfumo mbovu ndio umetufikisha hapa, na kwahiyo maaskofu/wachungaji wamekosea kwa mambo mengi lkn hata mashekhe/maimamu pia wamekosea kwa mengi. Turekebishe,tutafute common ground twende mbele kwani sote twahitajiana.Sisi vijana tuchukue fursa hii kukataa kutenganishwa, tusimame imara kwani sisi ndio tutakao athirika kuliko wazee hawa wanaooneka kuchoka kuvumiliana.

By the way, mada zisizojenga hasa zenye udini tuzipotezee, ikiwezekana mods muwe mnazifuta kabisa.

Hapo umenena. Mimi nafikiri watu tushikamane katika yale tunayofanana ili tuijenge Tanzania iliyo bora bila kuangalia Waislam, Wakristo, Wahindu hata Wapagani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom