Unachosema ni kweli kabisa. Waislam wanahitaji mkombozi atakayewaondolea hizo fikra potovu kwamba wanaonewa. Ni bahati mbaya sana Mungu alimchukua Dr. Omari Alli Juma. He was very good. Hakuwa anawaficha hao ndugu zetu. Wakati fulani aliwaambia kwamba waache kujidanganya kuwa wenzao wakristo wanapendelewa. Alitoa mfano kwamba ukienda mtaani uangalie familia ya kikristo na kiislam utaona tofauti kubwa sana. Alisema wakati familia ya kikristo inajishughulisha kutafuta fedha za kusomesha watoto, familia ya kiislam utaona imetulia tu. Halafu mwisho wa siku utegemee nini?
Kwa kifupi, waislam waache malalamiko yao bali waelekeze nguvu zao kutafuta elimu kwa gharama yoyote.
Mkuu tumewahutubia sana suala la kuacha malalamiko na badala yake waende shule na wafanye kazi kwa bidii ndipo watakomboka lakini bado wanatumia muda mwingi kulalama tuuuuuu.
We fikiria wakati mkristo anaamka alfajiri ili awahi kutafuta riziki, wenzetu wanadamkia kwenye vijiwe vya kahawa na kashata na huko ni malalamiko tu wakristo wanatuonea hadi siku inaisha.
Sasa hapo mbaya wako ni mkristo au ni uvivu wako. Jirekebisheni jamani.