Why do you think it is easy to mobilize muslims for a rally than christians!!

Status
Not open for further replies.
Waislam ktk jamii ya watanzania wapo duni ktk huduma za elimu,afya,hawana uongozi unaokubalika na waislamu kwa pamoja.na la muhimu wengi wao hawana ajira za maofisini wengi wanauza maduka,sokoni,vijiweni etc hivyo hawana cha kuogopa kupoteza ajira.pia wakristo wataogopa investments zao walizonazo mashule,hospitali na mashirika yao ya misaada yanayofaidi misamaha na ruzuku za serikali.waislam hawana cha kupoteza zaidi ya uhai
wewe kweli bongolala,kule tunisia kuna mtoto wa bilione no3 wa tunisia ameandamana kuwaunga mkono vijana wasomi wenzie ambao hawana kazi,je nayule ana njaa,tukubali kua wakristu wa tanzania waoga sana wakitishiwa nyau wanajificha uvunguni,kule misria waislam nawakristu wameungana wanadai hakiyao.
 
My dearlest members of JF,
Somebody has told me that it is easy to mobilize muslims for a rally within a short period of time than doing the same to their counterpart christians. By the way, is this postulate true? If yes, what could be the reason(s)? I am thinking of one or two reasons but let me learn your views first and will come back latter.

Ni kweli na sababu ni ROHO ya uislamu haijui la mashara wala kweli kinacho jalisha ni mtoa hotba ya kuwapa mzuka kupanda hapo tena hakuna kufikiri bali ni takbir kwa kwenda mbele mafundisho ambayo yanaanzia madrasa kwa bakora. ni roho walio ivaa toka mtume wao!
 
I think this is different angle of looking at two dimensions of democracy. Why I am taking this firm position is this, if we look at Arab world the democratic process is similar in a way to most of Arab countries. There are so much similarity in mixing Islam and political systems. This has been a struggle for years and we can see in Saudi, Iran, Iraq, Pakistan, Lebanon, Tunisia, Egypt, Algeria, and other Arab nations. More than half population in Arab countries want Islam to take big role in how the political while small and educated ones reject this approach. The fact that these nations have large Muslim populations the struggle will continue and it get worse and worse. We are watching this in Iran and Egypt is hard to reason if Muslims want Islam to take major role after Mubarak or a just change in regime. We also find leaders in mosques are willing to take risk of pushing people in the streets to protest but they might have their own agendas. The other side of Christian democracy is quite different because most churches are not willing and they don't think the best way to teach people is not by being apart of political system. We find this in majority Christian countries that pastors, bishops and church leaders want people to pursue God and Strengthen their Faith first. This Christian prospective is based on the facts that a country is made up Christians and other believes. The Church leaders follow Jesus Doctrine that Jesus want to fish for people to Accept God and not leading the government or political parties. The facts that we have these major differences does not mean that Christians don't want good governments and political systems but they want to pursue it differently. Arab world is really fragile and there so many factors count to what we see today. Let's Pray for the best and good leadership to emerge so they participate in solving world issues.

The truth is there are no parallel to question asked above that is easy to mobilize Muslims than Christians, it can be an insult at different angles. For the case of Tanzania, the culture and propagandas of CCM contribute to so much what we see how people reacting to CCM-group of theives and Mafisadi. Most of Tanzanians never went through revolution and changes and the people are nerve of life after. We have to empower people and in my mind we are there already and we are just waiting for the spark moment to ignite in the streets. CCM are trying to look like they tough and they are not worrying of anything, this is damn lye. CCM is really scared of people in the streets and the CCM mafisadi they don't have places to run too like Ben Ali, they will end up in Tanzanian jails. Lets watch next weeks, things will happen fast....
 
Tuwe wazi kuwa uislam ni dini ya vision, inayoruhusu @mtu kuhoji mambo.., tofauti na ukiristo akishasema padri/mchungaji amesema huwezi kuhoji. Mfano kipindi cha kudai uhuru wakiristo walijiweka upande wa wakoloni kwani ukipinga ukoloni umepinga ukiristo wakati huo wazee haohao unaosema maskini, wauza magenge walichangishana fedha ktk kudai uhuru.[kwa ufupi akili za wakristo huwa ni za kushikiwa na maaskofu/mapadri] usipo wafuata unafukuzwa kwa kanisa. Mfano tumeona kule Rukwa walitengwa kwa kuchagua ccm.
 
My dearlest members of JF,
Somebody has told me that it is easy to mobilize muslims for a rally within a short period of time than doing the same to their counterpart christians. By the way, is this postulate true? If yes, what could be the reason(s)? I am thinking of one or two reasons but let me learn your views first and will come back latter.

IQ yao ni ndogo na hawajaenda shule.
 
Tuwe wazi kuwa uislam ni dini ya vision, inayoruhusu @mtu kuhoji mambo.., tofauti na ukiristo akishasema padri/mchungaji amesema huwezi kuhoji. Mfano kipindi cha kudai uhuru wakiristo walijiweka upande wa wakoloni kwani ukipinga ukoloni umepinga ukiristo wakati huo wazee haohao unaosema maskini, wauza magenge walichangishana fedha ktk kudai uhuru.[kwa ufupi akili za wakristo huwa ni za kushikiwa na maaskofu/mapadri] usipo wafuata unafukuzwa kwa kanisa. Mfano tumeona kule Rukwa walitengwa kwa kuchagua ccm.

Yaleyaleee, umbumbumbu upo damuni!! Kazi kwelikweli.
 
IQ yao ni ndogo na hawajaenda shule.
Wewe ndiye mwenye IQ ndogo kwa kutojitambua na kutoa majibu ya kitoto kama unayotoa. Ni kweli waislam hawana shule ya kuiibia nchi na kuuza raslimali zake kwa lengo la kumridhisha padri, mchungaji au askofu kwa kutoa sadaka.
 
Wewe ndiye mwenye IQ ndogo kwa kutojitambua na kutoa majibu ya kitoto kama unayotoa. Ni kweli waislam hawana shule ya kuiibia nchi na kuuza raslimali zake kwa lengo la kumridhisha kwa kutoa sadaka.

Kasome shule, uchangamke. Siyo unabwabwaja tu hapa jamvini. Madrasa yako mnayofundishwa kwa bakora haiwezi kukusaidia kitu ndg yangu. Wewe huoni mashekhe wenu wanavyo-argue mambo kama watoto wa chekechea. Hayo ni madhara ya kuendekeza madrasa. Mngeelekeza nguvu kwenye mambo ya elimu kama mnavyoelekeza kwenye mambo ya ubwawa, pilau, kahawa na kashata, mngefunguka akili!!
 
Kasome shule, uchangamke. Siyo unabwabwaja tu hapa jamvini. Madrasa yako mnayofundishwa kwa bakora haiwezi kukusaidia kitu ndg yangu. Wewe huoni mashekhe wenu wanavyo-argue mambo kama watoto wa chekechea. Hayo ni madhara ya kuendekeza madrasa. Mngeelekeza nguvu kwenye mambo ya elimu kama mnavyoelekeza kwenye mambo ya ubwawa, pilau, kahawa na kashata, mngefunguka akili!!

Nakuona mwenye chuki kweli na waislamu lakini utafanyeje mkuu, sisi tutakuwepo tu hadi mwisho wa dunia..

Pili kila siku tunapanda chati kwa kusoma, idadi na mambo mengine ambayo yatakukera kweli..

Endelea kuumia mkuu hatuna namna..ok
 
Nakuona mwenye chuki kweli na waislamu lakini utafanyeje mkuu, sisi tutakuwepo tu hadi mwisho wa dunia..

Pili kila siku tunapanda chati kwa kusoma, idadi na mambo mengine ambayo yatakukera kweli..

Endelea kuumia mkuu hatuna namna..ok

Asante sana kwa kukubali ukweli. Hakika mkisoma mtaelimika na malalamiko yasiyo na mbele wala nyuma yataisha. Waislam wote niliosoma nao tangu O-level hadi Master degree ni waelewa sana na wala sikuwahi kusikia wana mawazo ya ajabu ajabu kama wengine tunaowasikia kwenye vyombo vya habari. Kwa hiyo, lazima niwe mkweli hapa, mkielimika vizuri automatically mtapata ajira bila shida na nina hakika malalamiko yataisha naturally.

Kwa taarifa yako mimi ni mwajiri. Kati ya watumishi 52 niliowaajiri, 22 ni waislam ambao kati ya hao, 8 wapo kwenye Management level. Wakati wa zoezi la ajira nilihakikisha kila mwenye sifa anapata fursa sawa.

Kamwe siwezi kuwachukia waislam kwani Dini yangu inasisitiza sana juu ya upendo.
 
Kasome shule, uchangamke. Siyo unabwabwaja tu hapa jamvini. Madrasa yako mnayofundishwa kwa bakora haiwezi kukusaidia kitu ndg yangu. Wewe huoni mashekhe wenu wanavyo-argue mambo kama watoto wa chekechea. Hayo ni madhara ya kuendekeza madrasa. Mngeelekeza nguvu kwenye mambo ya elimu kama mnavyoelekeza kwenye mambo ya ubwawa, pilau, kahawa na kashata, mngefunguka akili!!
Du mshikaji naona unaingia anga mbaya. Kwako selfawareness ni kutambua kuwa unawajibika kwa kanisa na sio nchi. Ingekuwa kinyume ucngetoa pumba zako. Kwa taarifa yako ungejua thamani ya elimu itolewayo madrasa ucngethubutu kuikashfu kama unavyofanya. Lakini ni vizuri ukajitambua wewe ni nani na role yako ktk jamii. Kwa tunaokufahamu tunakushangaa sana tunaposoma pumba zako za kushabikia udini na UCHADEMA bila ya kujali maslahi ya Taifa.
 
Asante sana kwa kukubali ukweli. Hakika mkisoma mtaelimika na malalamiko yasiyo na mbele wala nyuma yataisha. Waislam wote niliosoma nao tangu O-level hadi Master degree ni waelewa sana na wala sikuwahi kusikia wana mawazo ya ajabu ajabu kama wengine tunaowasikia kwenye vyombo vya habari. Kwa hiyo, lazima niwe mkweli hapa, mkielimika vizuri automatically mtapata ajira bila shida na nina hakika malalamiko yataisha naturally.

Kwa taarifa yako mimi ni mwajiri. Kati ya watumishi 52 niliowaajiri, 22 ni waislam ambao kati ya hao, 8 wapo kwenye Management level. Wakati wa zoezi la ajira nilihakikisha kila mwenye sifa anapata fursa sawa.

Kamwe siwezi kuwachukia waislam kwani Dini yangu inasisitiza sana juu ya upendo.

Kila la heri kama uansema ukweli bila (kuficha chuki za ndani ya moyo wako)

Malalamiko dawa yake ni kusikilizwa kwa umakini na utafiti si kuyabeza na kudharau hiyo ndiyo tabia ya msomi (hasa mwenye upendo) kama unavyojinadi

Usifikiri kila anayelalamika hana akili, na kwamba aliyenyamaza hana malalamiko unajidanganya...
 
Kila la heri kama uansema ukweli bila (kuficha chuki za ndani ya moyo wako)

Malalamiko dawa yake ni kusikilizwa kwa umakini na utafiti si kuyabeza na kudharau hiyo ndiyo tabia ya msomi (hasa mwenye upendo) kama unavyojinadi

Usifikiri kila anayelalamika hana akili, na kwamba aliyenyamaza hana malalamiko unajidanganya...

Wapeleke watoto wako shule, (kama wapo) uone kama watakuja walalamike miaka ya mbele.
 
wewe kweli bongolala,kule tunisia kuna mtoto wa bilione no3 wa tunisia ameandamana kuwaunga mkono vijana wasomi wenzie ambao hawana kazi,je nayule ana njaa,tukubali kua wakristu wa tanzania waoga sana wakitishiwa nyau wanajificha uvunguni,kule misria waislam nawakristu wameungana wanadai hakiyao.

Walioandamana Arusha walikuwa al qaeda au janjaweed au magaidi wale?
 
Usidhulumu wala usiruhusu kudhulumiwa., Ukiona baya liondoe kwa mkono wako, ukishidwa likemee, ukishidwa chukia. Hizo ni baadhi philosophy zinazowanya waislamu kushiriki harakati za ukombozi kwa haraka zaidi
 
Wewe ndiye mwenye IQ ndogo kwa kutojitambua na kutoa majibu ya kitoto kama unayotoa. Ni kweli waislam hawana shule ya kuiibia nchi na kuuza raslimali zake kwa lengo la kumridhisha kwa kutoa sadaka.

Rostam Aziz, Daud Balali, Mustafa Mkulo, Oil com, Melei Balabou.....na wengineo wanaibia nchi kwa lengo la kutoa sadaka na hawa wote ni wakristo.
 
Asante sana kwa kukubali ukweli. Hakika mkisoma mtaelimika na malalamiko yasiyo na mbele wala nyuma yataisha. Waislam wote niliosoma nao tangu O-level hadi Master degree ni waelewa sana na wala sikuwahi kusikia wana mawazo ya ajabu ajabu kama wengine tunaowasikia kwenye vyombo vya habari. Kwa hiyo, lazima niwe mkweli hapa, mkielimika vizuri automatically mtapata ajira bila shida na nina hakika malalamiko yataisha naturally.

Kwa taarifa yako mimi ni mwajiri. Kati ya watumishi 52 niliowaajiri, 22 ni waislam ambao kati ya hao, 8 wapo kwenye Management level. Wakati wa zoezi la ajira nilihakikisha kila mwenye sifa anapata fursa sawa.

Kamwe siwezi kuwachukia waislam kwani Dini yangu inasisitiza sana juu ya upendo.

Eti mwajiri bogus..huna lolote umeajiriwa kanisa fulstop..usitafute misifa hapa..IQ yako haionyeshi kama uanweza kumuajiri mtu yeyote pole..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom