SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Mkuu mleta hoja nafikiri umewasikia mwenyewe hoja zao, wana dhana potofu kuwa wanaonewa na ni watu ambao wamekata tamaa, na siku zote watu waliokata tamaa ni rahisi sana kuasi. Ndugu zetu wana dhana potofu juu ya kanisa na ndiyo maana mafisadi wanawatumia kufika malengo yao ya kuvunja mshikamano ili watawale milele.