Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 86
Welcome Madam
Welcome Madam
Na ukweli ni kwamba most of such women are the ones men run after (20th Century fool...)
..Na ndio maana maambukizi ya ukimwi hayaishi..lol
solution nini sasa????????
Zuma therapy
Mwanume akicheat, ni shetani kampitia, mwanamke akicheat ni kicheche. Na wanawake wenyewe wanabuy hiyo myth.
Mtoto wa kike ukijisikia kujirusha ili kujiridhisha kimapenzi, jirushe.
Tena ukijua mwenzio kacheat huna hata haja ya kumuuliza au kupigana ngumi na mgoni wako. Mpigie simu mwanaume mwingine anayekujali na unayempenda (ambaye kila siku unajizuia kujirusha naye as you are in a relationship with someone who takes you for granted).
Jipe raha mwenyewe.
Masista du (Soda za kopo)
Na ukweli ni kwamba most of such women are the ones men run after (20th Century fool...)
..Na ndio maana maambukizi ya ukimwi hayaishi..lol
Ukiwa na tabia kama ya Zuma hata ukiwa nao 10 hawatoshi, kwani kila kinachojitokeza kinataka kukutoa roho. Utaishia wangapi? Ni kukaribisha prostate hyperplasia (kuvimba tezi za prostate kwa sababu ya kuzi-overwork)! Hata kama chakula kikiwa kizuri kiasi gani muungwana anapakua kidogo tu ili kutunza staha yake ingawa angetamani kujaza sahani na kurudia tena!
halafu mkulu nina wasi wasi kama mkuu Zuma anawaweza wale wote kiukamilifu au ana wasaidizi?
Hivi soda ya kopo maana yake nini? Seriously, nimesikia mara nyingi lakini nimeshindwa kuidadavua maana yake! Msaada kwenye tuta tafadhali.
hehehe!anawaweza tu.mbona mfalme suleiman alikuwa na wake 700?na concubines(wachumba) 300 kama sikosei...na aliwamuduhalafu mkulu nina wasi wasi kama mkuu Zuma anawaweza wale wote kiukamilifu au ana wasaidizi?
Lazima wajanja wanamsaidia! Ni kama Mswati tu! Anasaidiwa kwa sana tu!
hehehe!anawaweza tu.mbona mfalme suleiman alikuwa na wake 700?na concubines(wachumba) 300 kama sikosei...na aliwamudu
dah mkuu nakwambia kuishi mjini kazi! wenyewe wanamalizia kwamba 'hakintoshi kipapatio nataka paja miye'
dah mkuu nakwambia kuishi mjini kazi! wenyewe wanamalizia kwamba 'hakintoshi kipapatio nataka paja miye'
umenikwaza I was not supposed to be here now ila hicho kibwagizo......aramba kumbe siyo bure eeeeeeeeeeeh!!!