FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #261
huyu sijui ndo kafumaniwa na husband wa mwenzio ...
utalipwa na Mola my BLVyeo vingi maslahi madogo ..kweli kujitoa yataka moyo bestlady
Asante kwa kunikumbusha
Ndio maana napenda TUSKER moto.
Ndio maana napenda TUSKER moto.
Kabisa! hakuna kilicho bora. Kwa hiyo mtu ukikubali kuwa kwenye uhusiano na mtu ukubali pia kuna uwezekano wa wewe kuibia au yeye kukuibia. Sasa wengine hatupendi shida. Kuishi na wasiwasi wa namna hiyo kwangu ni shida.
Nyie mnatosheka?