Kwahiyo kutokea Austria au Australia (thanks for correction by the way) does it make any difference kwamba ni matakwa ya Mungu au sio?,
Nope, hiyo ya Austria na Australia ilikuwa weka facts sawa. Haihusu katika subject.
Narudia kuandika anayeamini Mungu, yaani muumini; anaamini kila jambo limepangwa na Mungu, mabaya yote yanayotokea ni majaribu. Muumini hawezi kuquestion 'qadar' - uwezo wa Mungu. Utapojikuta unaquestion hili, na kusema kwamba binadamu yu responsible kwa mambo yake, unakuwa unarefute 'qadar' - yaani uwezo wa Mungu, hivyo wewe sio Muumin. Na kama wewe sio muumin, basi mbele ya wenzio- wasio waumini- mtakubaliana kuwa binadamu yuko responsible kwa lolote linalomtokea, zuri au baya.
Kama mchangiaji wa mada hii atakuwa muumini, hawezi kukubali n argument kuwa binadamu yuko reponsible na yanayomtokea, mazuri au mabaya, na kwamba kumlaumu Mungu ni kutafuta kisingizio. Mchangiaji aipokuwa muumini, atasema kuwa mwandishi yuko right, kuwa matukio yanayomtokea binadamu, anayasababisha mwenywe. Hivyo basi, conclusion ya mada hii inakuwa controlled na factors 2, kuwa au kutokuwa muumini.
Kwa mfano, refer kwa post yako inayofuata, tuseme umeanza safari ya kwenda Dodoma, na ikatokea hujafika, sababu kubwa itakuwa Mungu hajajaalia ufike Dodoma, huwezi kuconclude eti ni makosa yako kutokufika Dodoma wakati nia yako ilikuwa hiyo.
Sana tu Mungu akinijalia siku nikija Dom naona zitanikoma..., hivi bado zipo kwa wingi?
please naomba unijibu with any good argument kwamba Mungu alitaka hayo yatokee kwa mantiki gani ?
Una maana gani unaposema nikujibu with good argument? Kama unaona argument zangu sio 'good' ina maana good argument unazijua na unataka kuzisikia kutoka kwangu. Mungu hajapanga bado nikujibu kwa good argument.