Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,694
- 58,763
Kwahiyo mimi naamini vitu ambavyo vingeleta matokeo tofauti kama binadamu angefanya kitu tofauti na alichofanya ni makosa yetu wenyewe kwahiyo tuache kulaumu huyu au yule...achilia mbali Mungu!Kwenye psychojia kuna kitu kinaitwa attribution factors..kama binadamu we attribute our failures to situational factor(tunajiaminisha kwamba hatukua na uwezo wa kubadili kilichotokea..it was bound to happen)..Mfano wa mtu aliyefeli mtihani hapa atalaumu mwl...muda..ugumu wa somo badala ya yeye mwenyewe!