Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Ndugu wananchi wenzangu wana JF na wakereketwa wote wa MABADILIKO ni vigumu kuamini lakini inatubidi tuamini kwani tumeona baada ya kusikia mwanasheria na mwanzilishi wa vyama vingi akisema na kutaja waliosababisha EPA na kama hilo halitoshi ili kudhibitisha kuwa ni kweli TBC wakakata matangazo ingekuwa ni uwongo wangeacha.
Nina amini kwamba watanzania sio wajinga tena na wala sio viziwi na wana akili za kuchambua mbivu na mbichi. sasa the ball is in our hands we are the once to play it. We have all the rights to do what we think is right and no body will ask us.
The reason am saying these for Chadema are
Nina amini kwamba watanzania sio wajinga tena na wala sio viziwi na wana akili za kuchambua mbivu na mbichi. sasa the ball is in our hands we are the once to play it. We have all the rights to do what we think is right and no body will ask us.
The reason am saying these for Chadema are
- They know the source of the problem
- They can start from the scratch and change everything
- Wanapojikomit manake ni kwamba wanajiamini na wana uhakika kuwa wataweza kutekeleza kwa muda waliojiwekea kwani hakuna hata chama kimoja kilichowahi kujikomit
- Ni tumaini letu pekee kwa sasa
- Hawana ubaguzi na sera zao zinatia moyo
- Wengi wana sera lakini tumechoka kudanganywa na chama kimoja
- The big thing is kama tukijaribu chama kingine apart from the rulling party tutawapa changamoto ya kutekeleza mengi waliyoahidi ili kufanikiwa kurudi madarakni awamu inayofuata
- Mpira upo mikononi mwetu na wakati wa kuamua ni sasa kwa faida yetu wote watoto wetu vizazi vijavyo na nchi kwa ujumla
- Mimi na wenzangu wengi tunasema WE NEED CHANGES AND THE CHANGES STARTS FROM YOU AND ME
Kilichotokea jumamosi Jangwani ni ishara ya wananchi kuchoshwa kudanganywa kama watoto na nia ya watu kuona maendeleo yao na nchi kwa ujumla. people we need changes
Sikuwa kweny ufunguzi wa CCM hivi walianza na sala pia???????
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE