Hahahaaa muhanga leo umeibukia wapi best maana unanichekesha ile mbaya...wanaume wafupi wana makeke sana, wanajijua ni wafupi kwa hiyo wanataka kujiongeza urefu kwa makeke yao, halafu ukute ni mfupi na suruali yake inajikunyata hapa katikatika ya miguuu... to me, no way!
wanaume wafupi wana makeke sana, wanajijua ni wafupi kwa hiyo wanataka kujiongeza urefu kwa makeke yao, halafu ukute ni mfupi na suruali yake inajikunyata hapa katikatika ya miguuu... to me, no way!