Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Ndugu wapendwa
asaalam alheikum,BWANA YESU ASIFIWE...wapendwa naomba leo hii tuanze kutafuta chanzo cha ndoa kuharibika ovyo ..ndoa nyingi za leo hii zimepewa jina la kileo azikai muda wanaachana wengine wanadai love is blind..sasa labda kuwasaidia wale walio njian kwenda kupanda hili basi la NDOA Embu wanandoa tusaidiane kuelimishana kwa nini umeoa??ama umeoolewa??
Yawezekana tunalalamikaa lakini src ni sababu ya ndoa..wengi wanakuwa na mawazo haba labda muda wa umri umeenda naitaji kukabana na hili hili na kufikia kumsingizia mungu huyu ndio kutoka kwa bwana..wengine wanaoa ama kuolewa kutoa GUNDU la familia kwao akuna alieoa ama kuolewa .....,,,,,,,
Nahisi tunaitaji ....kutafuta chanzo /src ya kuvunjwa hizi ndoz...badala ya kusubiri watu waumie tutafute soln mabomu yashalipuka kama GONGO LA MBOTO....
Kwako mwanandoa!!!!@@@@
asaalam alheikum,BWANA YESU ASIFIWE...wapendwa naomba leo hii tuanze kutafuta chanzo cha ndoa kuharibika ovyo ..ndoa nyingi za leo hii zimepewa jina la kileo azikai muda wanaachana wengine wanadai love is blind..sasa labda kuwasaidia wale walio njian kwenda kupanda hili basi la NDOA Embu wanandoa tusaidiane kuelimishana kwa nini umeoa??ama umeoolewa??
Yawezekana tunalalamikaa lakini src ni sababu ya ndoa..wengi wanakuwa na mawazo haba labda muda wa umri umeenda naitaji kukabana na hili hili na kufikia kumsingizia mungu huyu ndio kutoka kwa bwana..wengine wanaoa ama kuolewa kutoa GUNDU la familia kwao akuna alieoa ama kuolewa .....,,,,,,,
Nahisi tunaitaji ....kutafuta chanzo /src ya kuvunjwa hizi ndoz...badala ya kusubiri watu waumie tutafute soln mabomu yashalipuka kama GONGO LA MBOTO....
Kwako mwanandoa!!!!@@@@