Anangoja kuoteshwa kugombea urais,huwa napata shida kuelewa, hivi huyu nae anataka urais.hata kama sisi waafrika tunapenda kumrithisha yule ambaye atakulinda /atalinda maslahi ya aliyekuwa madarakani huyu hapana.familia namba one imuandae mwingine.
Ukweli mchungu,Kwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema
"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"
Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,
Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)
Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii
1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari
2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)
3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,
4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??
Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,
Britannica
Sijapata kuona taifa la wajinga kama bongoKwanza nianze kwa kukupa pole nakumbuka kipindi kilee wachina na baadhi ya watanzania wakijenga kwako ulitamka neno kama watania kumbe ulimaanisha ukisema
"Jenga vizuri mwaweza kuwa mnajenga ikulu hii, yaan ya rais nijaye"
Mkuu naomba utulie kama ambavyo lowassa kashajikatia tamaa,
Siyo kwamba huna uwezo wa.kuwa rais, la hasha, ni kwamba mchakato unaopitia kujiandaa ni mbovu,
Tunajua huyu aliyeko madarakani kashatuimbisha mpaka nyimbo za chekechekea (mpera una maua mpera unamaua, -sasa saaa ya kwenda kwetu kwaheri mwalim kwaheri tutaonanaaa)
Lakin sasa nina sababu nne za msingi ambazo zitakufanya usiwe rais wa nchi hii
1. Intelligence ya Rais wa sasa imeenea kila eneo, kabla hamjatekeleza mnalopanga anakuwa nalo nyumba nyu
nyeupe tiyari
2. Umri wako unaenda na kwa mikakati inaonekana Kuna mtu anaamdaliwa kuachiwa kiti mwaka 2025 na automatically siyo wewe maana anayeachiwa ana hulka za kimagufuli magufuli, (Magufulifier)
3. CCM mnamuogopa mwenyekiti hivyo hata mfanye nini mtatekeleza anachosema yeye, yaan ndani ya ccm hakuna wa kukemea lolote mtaishia kumtembelea na kumpa hai, nasikia kuna mwingine pamoja na kuwahi kushika nafasi kubwa kaenda pale feri akaomba camera zizimwe abembeleze vema watu wasigiswe, haha aisee,
4. Faili lako liko kwake ukileta fyoko choko, kitambi kitapungia muda si mrefu, huoni kina seth na Rugemalira??
Ushauri wangu mambo ya urais yasahau kama Kina Malechela na Lowassa au kama walivyoishia kuugulia maumivu kina Mwandosya,
Britannica