Why Bagamoyo International Airport will be a white elephant?

kujenga uwanja tu si mbaya ila siyo huo anaotaka kuujenga....ni upotezaji wa rasilimali[/QUOT

Tatizo alilokuwa nalo Kikwete wakati huu ni kutambua kuwa miaka mitano iliyopita kweli imepita na hakufanya kitu cha maana cha kuweza kukumbukwa, kwahiyo sasa anatapatapa kujenga hicho kiwanja cha ndege hapo Bagamoyo[ possibly kikaitwa kwa jina lake] iwe ndio alama yake kuwa hapo zamani katika nchi ya wadanganyika alitawala mkwere wa jina la Kikwete! It does not make economic sense to build an international airport at Bagamoyo when just a few kiolometres away at Dar International hadly five planes land in a day; moreover there are regions in Kigoma and Sumbawanga with fast economic potential that could do well if those resources were channelled to build roads that would open up these regions!! Hopefully, wabunge wa upinzani will pump some sense into the heads of the ccm robots in parliament to delete this project!!
 
Kwanini hataki kujenga Stigler's Gorge? nchi hii sasa hivi inahitaji umeme wa kutosha na wa uhakika!!!... hivi kweli Mkwere halioni hilo??...

Hawataki kujenga Stigler's Gorge kwasababu wakiijenga hiyo tutajitosheleza kwa umeme kwahiyo hakutakuwepo UMEME WA DHARULA ambao ndio njia yao ya kuliibia fedha taifa a la RICHMOND POWER GENERATING CONTRACTS!!
 
Heshima kwako Geza Ulole,

Mkuu hii maneno tukishayajadili sana zipo mada mbili ua tatu kuhusu Bagamoyo.Yapo mambo mengi ya kutazama kabla ya kuaanzisha mradi mkubwa kama International Airport,Bandari na nk bila shaka ujenzi wa Airport Bagamoyo umejikita zaidi kumfurahisha Kikwete badala ya kuangalia faida za kiuchumi.

Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam uko katika mpango wa kupanuliwa ndiyo maana tumesikia wananchi wa maeneo ya Kiwalani na Kipunguni wakilipwa fidia ili kupisha upanuzi wa uwanja wa Ndege.bado sijasikia wataalamu wa viwanja vya ndege wakilalamikia msongamano wa ndege JK Airport.

Nina amini kabisa zipo sehemu nyingi ndani ya JMT zinahitaji kujengwa viwanja vya ndege kwasababu za kiuchumi zaidi kuliko siasa ambayo imechangia kurudisha nyuma maendeleo ya Tanzania kwa kasi ya kutisha.Nimebahatika kufika Bagamoyo mwaka huu mwanzoni kwa kweli hakuna shughuli zozote za kiuchumi zinazohitaji uwanja wa ndege wa kimataifa labda kama wataalamu wetu watataka kutudanganya kwamba wanataka kupunguza mzigo mkubwa wa JK Airport.Kama ni hivyo najiuliza kwanini serekali imelipa mamilioni ya fedha za walipa kodi kuwafidia wakaazi wa kiwalani na vitongoji vyake.

Zipo hadithi nyingi za Bagamoyo itajengwa bandari kubwa ya kisasa,Itajengwa kituo kikubwa cha kisasa cha mikutano cha kimataifa,Kijiji cha michezo,Itajengwa miundombinu ya kisasa kwaajili ya ujenzi wa viwanda na nk.Miradi yote hii ikipelekwa Bagamoyo maana yake ni kale kaugonjwa ka marais wa zamani Afrika eg: Felex B wa Ivory Coast,Daniel Arap Moi wa kenya na Mobutu seseko wa Zaire ya zamani sasa Congo.Viongozi wote hawa walijitahidi sana kutumia kodi za wananchi kujenga sehemu walizotoka.

Ni ajabu kidogo mambo haya ya kipuuzi yanafanywa na kiongozi anayesisitiza umoja wa Tanzania ilihali anafanya vitendo vya kututenganisha kwa kutumia rasilimali za taifa vibaya.
 
As things seem, our Excellency is determined to build a state of the Art International Airport in Bagamoyo, his hometown, suprizingly none of our so called technical experts at the TCAA is daring to tell him of the prospect of that Aiport to be void and null. The project that is anticipated to source funds from the Eurobond of $500 million that the country is eyeing by the mid of next year, will be a misallocation of resources if none of us will stand FIRM and OPPOSE his Excellency from executing his dreams that serves us NO RELIEF IF NOR MERCY on our economy that NEEDS BADLY credible INFRASTRUCTURE!

Probably we should ask ourselves (tax payers) whether, a town of 30,000 inhabitants and 70 km from Dar es salaam needs an Airport of that magnitude. As far as i know, the town has no social and economic activities that can shoulder the burden that comes along with such a massive investment! Moreover, the proximity of Bagamoyo to Dar es salaam makes it impossible for those huge international jets to include the airport in the Dar route since it is uneconomical (as taking off and landing requires a lot of fuel combustion for that distance to make any sense). This leads me to ask one thing, has there been a feasibility study on that project? a CBA? if yes who did that? Are or President and minister incharged adviced properly?


I know people inhere are going to respond negatively towards my suggestion but we need to know when we put up money somewhere, it has to be gained back through tax and revenues collected rom using the respective facility invested! Tanzania is so big and there are areas that are completely isolated, with a lot of untapped potentials like the Western regions of Tanzania e.g. a city like Mwanza and a town like Kigoma could make more sense economically for this respective project! why? Mwanza has a huge population aside Dar es salaam (> 1 million inhabitants), the city is industrious with massive mining activities e.g. gold, nickel, cobalt, germstones e.t.c plus touristic activities i.e. Lake Victoria and Serengeti are in the proximity without forgetting the fishery activities! Whereas Kigoma has a population of over 150,000 people, also has a growing palm oil agro-industry that its potentials remain untapped, plus the tourism activities at Ujiji, Gombe and Lake Tanganyika not to forget fishery activities! Moreover and most important Kigoma is a gateway to the western DRC, Rwanda and Burundi!


Do our technical advicers see this? then, why not advicing our excellencies the priorities right know! Then if they are adviced and give a deaf ear on the advices given, why should they look for alternatives? if ther agenda is to serve their hometown; Bagamoyo right now needs an airstrip, needs a state of the Art university/college that will as well serve Dar es salaam, good hospital and hotels BUT NOT an international airport! Moreover I would accept a good harbour/port there but AGAIN not before an expansion of that of Dar es salaam, Mtwara and Tanga! Probably we should learn a lesson from our Neighbor's past mistake, Kenya under Moi built Eldoret International Airport in Eldoret (262 km away from Nairobi) that until now has failed to attract International Airlines i.e. it serves undercapacity! A wastage of resources that we are about to embrace here in Tanzania! Pls people outthere don't allow our politicians waste our resources!


If Kikwete is there to serve the interests of the people of Tanzania then he should hear this call and NOT waste our RESOURCES cause the Eurobond money about to be splashed on this project won't be recovered to pay back the loan in time! That is a "A WHITE ELEPHANT" project and none of us is above the law when it comes to a project that will be a burden to this country! Pls use our RESOURCES wisely and try to emulate ACCOUNTABILITY and RESPONSIVENESS to our pleas ......


NOTE: Lets discuss facts here and NOT religions OR tribes! Our future is on our SHOULDERS than need SMART and SHARP minds...

it is shame he would lather say he is planning to builg a high way with flyovers from dsm to connect bagamoyo village if not a district,this is an example of a good project of which more people will cheer on him/his decision a thing which will let more people to connect and live in bagamoyo to reduce conjestion in Dsm and will help to attract that export zone or industrial zone also an harbour which is planned to be there a few years from now.who can access that oldman and give him my ideals or let me have his e mail address personal if not official can i get it or anyone assist me in getting i will tell him outright.
A good farmer from Kemalambo
 
Kisingizio hapo kitakua utalii na bla bla zingine, ingekua busara zaidi kutumia hizo pesa kujenga dar upya yenye bara bara kubwa nyingi na pana na wala mtu asingetumia mda kwenda bagamoyo kutoka DIA.lakini kwa sababu hapa ni Tanzania haya yatafanyika tutalalama mwisho tutalala.
 
Miaka michache iliyopita tuliisakama ndege ya rais,point mojawapo ilikuwa ndege hii inaweza kutua sehemu chache hapa Tz.sasa hivi hatuoni umuhimu wa airport kuanza kujengwa.Tusipinge kila jambo bana!
 
Plse if you don`t have data,still you don`t research,YOU HAVE NO RIGHT TO SPEEK!!
Kamoooooon!!!?
Siyo lazima akaishi hapo anaweza ishi pale morocco ambako anamalizia ile nyumba au pale bagamoyo opposite Nyerere road kuna bonge la kasri linajengwa pale la msoga is just a penut.

bado hizo sehemu ulizozitaja sio bagamoyo ambayo intl airport itajengwa!! Acha kukurupuka!
 
QUOTE=jackbauer;lakini tujiulize toka uhuru serikali imeweka kitega uchumi gani cha maana ndani ya mkoa wa pwani especially bagamoyo?

Kiwanda cha korosho pale maeneo kati ya Kongowe na Kibaha kilijengwa baada ya uhuru. Pia kulikuwapo na TAMCO pale Kibaha ambayo ilikua inafanya assembling ya magari. Pia kumbuka mkoa wa pwani, huko nyuma ulijumuisha na DSM ambayo ilikua na vitega uchumi mbalimbali. Lakini sidhani kama ni lazima kila mkoa au wilaya iwe na kitega uchumi kilichowekwa na serikali,tatizo la watu wa pwani ni WAVIVU sana wenyewe kazi kucheza bao,kunywa kahawa,kuuza kijigenge na kucheza mwali.
 
QUOTE=jackbauer;lakini tujiulize toka uhuru serikali imeweka kitega uchumi gani cha maana ndani ya mkoa wa pwani especially bagamoyo?

Kiwanda cha korosho pale maeneo kati ya Kongowe na Kibaha kilijengwa baada ya uhuru. Pia kulikuwapo na TAMCO pale Kibaha ambayo ilikua inafanya assembling ya magari. Pia kumbuka mkoa wa pwani, huko nyuma ulijumuisha na DSM ambayo ilikua na vitega uchumi mbalimbali. Lakini sidhani kama ni lazima kila mkoa au wilaya iwe na kitega uchumi kilichowekwa na serikali,tatizo la watu wa pwani ni WAVIVU sana wenyewe kazi kucheza bao,kunywa kahawa,kuuza kijigenge na kucheza mwali.
OPEN University na World Tourism University, kamal Industrial Estate ukiacha mahoteli viko mbioni nathani vinatosha...ila uwanja babu utakuwa gofu
 
QUOTE=jackbauer;lakini tujiulize toka uhuru serikali imeweka kitega uchumi gani cha maana ndani ya mkoa wa pwani especially bagamoyo?

Kiwanda cha korosho pale maeneo kati ya Kongowe na Kibaha kilijengwa baada ya uhuru. Pia kulikuwapo na TAMCO pale Kibaha ambayo ilikua inafanya assembling ya magari. Pia kumbuka mkoa wa pwani, huko nyuma ulijumuisha na DSM ambayo ilikua na vitega uchumi mbalimbali. Lakini sidhani kama ni lazima kila mkoa au wilaya iwe na kitega uchumi kilichowekwa na serikali,tatizo la watu wa pwani ni WAVIVU sana wenyewe kazi kucheza bao,kunywa kahawa,kuuza kijigenge na kucheza mwali.

"especially bagamoyo" zingatia maneno haya.
'watu wa pwani ni wanacheza ngoma ee' hizi ndio fikra mbovu,mgando na za kibaguzi ambazo hazitakiwi kupewa nafasi ktk taifa letu.thats why wamasai na wahadzabe hawajapata keki ya Taifa sababu hawana utamaduni wa kimagharibi.kwa Taarifa yako wengi wa watu wa bagamoyo walitokea nje ya pwani.
 
Miaka michache iliyopita tuliisakama ndege ya rais,point mojawapo ilikuwa ndege hii inaweza kutua sehemu chache hapa Tz.sasa hivi hatuoni umuhimu wa airport kuanza kujengwa.Tusipinge kila jambo bana!
wewe uende ukalale wanaume waongeapo hiyo Gulf stream jet yake inatua kwenye airstrip (all weather)...ushaenda migodini ukaona airstrip zao ambazo zinaweza kutua Dash and the likes!? Kwanini isitue hiyo ndege yake? yaani unataka kumaanisha sababu kuu ya kujenga INTERNATIONAL Airport Bagamoyo ni ili Gulf Stream yake itue? You are a SICK MIND for sure!
 
Hakuna haja ya kujenga uwanja bagamoyo-aboreshe viwanja nya kigoma,mwanza,arusha n.k ili viwe na hali nzuri,au ni swala la mwamba ngoma .............
 
wewe uende ukalale wanaume waongeapo hiyo Gulf stream jet yake inatua kwenye airstrip (all weather)...ushaenda migodini ukaona airstrip zao ambazo zinaweza kutua Dash and the likes!? Kwanini isitue hiyo ndege yake? yaani unataka kumaanisha sababu kuu ya kujenga INTERNATIONAL Airport Bagamoyo ni ili Gulf Stream yake itue? You are a SICK MIND for sure!

ni wapi nilipoandika/kumaanisha kuwa hiyo ni sababu kuu?kati yangu mimi na wewe ni nani SICK MINDED?
 
Dar intertional is still not buzy how cn we have another internati
onal airport within 100km. CRAZY
 
We must stand firm on this we have been drugged for so long this time we say NO to the airport
 
Ninavyofahamu Bagamoyo ni mji muhimu ktk historia ya dunia,unahitaji kuwa advertised ili kuwa kivutio muhimu kwa utalii.kwa upande mwingine bagamoyo inatarajiwa kuwa gateway for southern touristic circuit.DAR na bandari yake imeshakuwa finyu mno,inahitaji kupanuliwa(kitu ambacho ni kigumu) au kutafuta alternative site(bagamoyo has been recommended).matarajio yetu ni kwamba bagamoyo itakuwa another commercial/industrial centre.hivyo sioni ubaya wa kuweka international airport ktk eneo hili.mbona Kilimanjaro kuna KIA which has no significant contribution to our nation,tuivunje?
Kikwete anajengewa nyumba pale msoga that means atakapoondoka madarakani ataishi msoga-chalinze.kwa taarifa nilizozipata chalinze itakuwa wilaya na kujitenga na bagamoyo,kwa mantiki hii kikwete(mkwere) hatokuwa mkazi wa bagamoyo. Sina uhakika kama hiki kiwanja kitajengwa chalinze.lakini tujiulize toka uhuru serikali imeweka kitega uchumi gani cha maana ndani ya mkoa wa pwani especially bagamoyo?instead of standing firm against the project lets suggest means of improving our income such that we have many Intl Airports around Tz.




utakuwa una undugu na malaria sugu
 
Back
Top Bottom