environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Please help me
nawazimia sana wanyama ndio viumbe bora ulimwenguni binadammu anashika mkiaKwa sababu unapendwa kama una pochi.
Everyone has a price, the problem is to know what it is - Pablo Escobar.
Kwa hiyo si wanawake tu hata wanamme wana price tag, shida ni kuisoma ni ipi au kiasi gani.
Mauaji mangapi ya kulipwa umeshayasikia?
Lizzy mie sijaelewa!Ila kwa maoni yangu inapoongelewa 'price tag' inaegemea zaidi kwenye pesa/vyeo zaidi ya mapenzi,watoto, ndoa n.k.
Kwahiyo mi mtu akinipata sababu tu ana sauti nzuri, sidhani kama anaweza akasema kuwa mie bei yangu ni sauti tu.
let me google! wil b right back!
nawazimia sana wanyama ndio viumbe bora ulimwenguni binadammu anashika mkia
be inlove work hard together money will comemii nadhani the finest kind of relationship btn man & women who expect a great deal of each other but never ask it . jamani hela s izinatafutwa tu ,