Who is next today in magistrate court - kisutu? We have to get the ball rolling before we cast them out 2010
Mh!! Mi nadhani hivi vichwa vifuatavyo vikitinga pale kisutu tunaweza kuona mwanga kuelekea ushindi katika hii vita ya Ufisadi....Mgonja, Chenge,Karamagi,Sumaye,Mkapa,Vincent Mrisho,Chenge,Rostam....
What a joke!!!!
Couldn't stop laughing
INVISIBLE'SKaramagi, Rostam, Meghji na Warioba Mahakamani leo!
UMEFUNGA STORY YAKO LAKINI TAARIFA ZA UHAKIKA NI KWAMBA MWANASHERIA WA SERIKALI ALIYEHUSIKA NA KUWALETA AKINA BASIL NA WALE WA EPA MPAKA MUDA HUU YUKO KISUTU ANALANDALANDA KTK KORIDOR HUKU AKIANGALIA UWEZEKANO WA KULETA MAAFA MAPYA, TATIZO KWAO SASA NI MSIMAMO THABITI WA MAHAKAMA IMEKATAA KULETEWA KESI ZAO WAKATI JUA LIKICHWA SASA HAIELEWEKI KAMA HAWA WANANCHI WATAPELEKWA MBELE YA PILATO KESHO ASUBUHI AU LA? ANAYEVUMA MPAKA SASA KWA HAKIKA KUWA NI MTARAJIWA NI MH.KARAMAGI.
NADHANI ILE HALI ILIYOWAKUTA MRAMBA NA YONAH JANA IME WAFADHAISHA WAKUU, SASA WANAPANGA MBINU MPYA YA KUMWAGA UPUPU KISAYANSI PASIPO ZOGO MAHAKAMANI. TUSUBIRI TUONE.
MKUU NIMEFADHAISHWA NA KITENDO CHA KUFUNGA DIRISHA LA TAARIFA KTK THREAD YAKO MWENYEWE. USIHOFU MAANA WEWE UMEIITA TETESI.
Jakaya Kikwete
Jakaya Kikwete
Wakuu nimepata Uhakika wa mtu aliyeko hapo Kisutu kuwa Meghji na Karamagi wamefikshwa hapo na kusomewa mashtaka yao.
Habari zaidi zitakuja hivi punde